Acha uvivu. Tuliopita UDSM ndio kiboko yenuAsante bro.Nimejiunga Open niendelee na kibarua change huku nasoma sitaki presha brother. Ingekuwa SAUT MA Linguistics wanaitoa kwenye Center yao Dar ningefanyia kwao maana naona Wana kibao waliosoma huko wameajirika kwenye vyuo vingi tu vya serikali.
SAUT wako vzr sana kwa kweliAsante bro.Nimejiunga Open niendelee na kibarua change huku nasoma sitaki presha brother. Ingekuwa SAUT MA Linguistics wanaitoa kwenye Center yao Dar ningefanyia kwao maana naona Wana kibao waliosoma huko wameajirika kwenye vyuo vingi tu vya serikali.
Sio uvivu bro kila mtu na malengo yake.Imagine niko private sector niache kazi nikafanye Masters familia naiachaje that's why tunaamua kufanya hivyo.Kama Mzumbe nilitoboa kwa GPA kubwa tu nakosaje kutoboa UDSM?Acha uvivu. Tuliopita UDSM ndio kiboko yenu
Yeah unalipa ada kulingana na unavyotaka maisha yanaenda tuSAUT wako vzr sana kwa kweli
Sio uvivu bro kila mtu na malengo yake.Imagine niko private sector niache kazi nikafanye Masters familia naiachaje that's why tunaamua kufanya hivyo.Kama Mzumbe nilitoboa kwa GPA kubwa tu nakosaje kutoboa UDSM?
Aisee utu uzima huu stress za nini mimi nasoma OUT,MA linguistics nitasoma SAUT someni uko nyie fresh from school.Wakuchafulie cheti wakati marks ni zilezile.Haya mambo yananifanya nisisome mwaka huu, nina watu wamenishauri nisiingie UDSM ni kugumu masupervisor wanasumbua, kuna watu wanajua wanaandika sana na wako vzr upstairs ila wanakwamishwa na supervisors. Mtu anatuma kazi inakaa miezi mitatu na majina yao ninayo, na wengine wanasumbua wanakubaliana na supervisor wakienda kwa discussant anataka afanye anachotaka yeye, ukinde kwenye study committee unabdilishwa tena sasa wenyewe kwa wenyewe hawajielewi wanavuruga watu alaf ukichelewa kumaliza kwa wakati una lipa ada mpya. Nimepata nafasi ila siendi UDSM bora niende Ardhi.
Lakini pia nimeshauriwa na mfanyakazi wa hapo akisema usisome hapa UDSM utachizika.
Kwa hiyo hao UDSM wanajikuta wakina nani hv kwa mfano? Sitaki tena kusoma PHD hapo, bora Ardhi. Na kama uko hapo unasoma PHD muda ukipitiliza usikubali kama ni uzembe wa supervisor au wasimamizi, mil 4 ni nyingi sanaa kwa kweli, msikubali kudhulumiwa kabisaaa.
UDSm sio sehemu nzr ya kusoma PHD hata ujitahidi vp utasumbuliwa tuu na ukichelewa kumaliza kupitia hiyo waraka wao utalipa ada tena full hadi ukonde ubaki mfupa.
Mzumbe ulitoboa kwa GPA kubwa halafu unabeba maboksi ya Bia broweries ??
Mzumbe ulitoboa kwa GPA kubwa halafu unabeba maboksi ya Bia broweries ??
Hivi ukisoma OPEN ni kila siku darasani au ni online?AI see sasa brother utu uzima huu
Aisee utu uzima huu stress za nini mimi nasoma OUT,MA linguistics nitasoma SAUT someni uko nyie fresh from school.Wakuchafulie cheti wakati marks ni zilezile.
Kabisa na watia hasiraNi hatari sana supervisors wengi wa vyuo vyetu hivi ni changamoto.