Seneti ya UDSM mliliangalia jambo hili wakati wa kupitisha sheria mpya?

Acha uvivu. Tuliopita UDSM ndio kiboko yenu
 
SAUT wako vzr sana kwa kweli
 
Acha uvivu. Tuliopita UDSM ndio kiboko yenu
Sio uvivu bro kila mtu na malengo yake.Imagine niko private sector niache kazi nikafanye Masters familia naiachaje that's why tunaamua kufanya hivyo.Kama Mzumbe nilitoboa kwa GPA kubwa tu nakosaje kutoboa UDSM?
 
Mzumbe ulitoboa kwa GPA kubwa halafu unabeba maboksi ya Bia broweries ??
Sio uvivu bro kila mtu na malengo yake.Imagine niko private sector niache kazi nikafanye Masters familia naiachaje that's why tunaamua kufanya hivyo.Kama Mzumbe nilitoboa kwa GPA kubwa tu nakosaje kutoboa UDSM?
 
AI see sasa brother utu uzima huu
Aisee utu uzima huu stress za nini mimi nasoma OUT,MA linguistics nitasoma SAUT someni uko nyie fresh from school.Wakuchafulie cheti wakati marks ni zilezile.
 
Ni hatari sana supervisors wengi wa vyuo vyetu hivi ni changamoto.
 
AI see sasa brother utu uzima huu

Aisee utu uzima huu stress za nini mimi nasoma OUT,MA linguistics nitasoma SAUT someni uko nyie fresh from school.Wakuchafulie cheti wakati marks ni zilezile.
Hivi ukisoma OPEN ni kila siku darasani au ni online?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…