Senetor Wa jiji la Nairobi azua gumzo uwanja Wa ndege

Senetor Wa jiji la Nairobi azua gumzo uwanja Wa ndege

Ilikuwa ni waziri mkuu wa china mkuu siyo rais...ila umeandika raid rekebisha basi.

Hii ingekuwa Tanzania eti makonda ndo avae hvo...nahisi Magu angemfukuza..ila wakenye wamelalamika sana wengine wanasema Sonko bado ako na utoto haikuwa poa kuvaa hvo.

Ila aliyenivunja mbavu ni Ruto jinsi alivocheka..sijui hata kilichomchekesha hvo nn tu. Ila kenyata bwana...wala hata hakuona kama ni kitu cha ajabu sana.

Pole ,bado upo gizani mkuu....kama angevaa hivyo kwa sasa ambao wangemcheka ndiyo wangetumbuliwa.....
 
Pole ,bado upo gizani mkuu....kama angevaa hivyo kwa sasa ambao wangemcheka ndiyo wangetumbuliwa.....

Kweli mkuu kwa yaliyotokea leo nakubaliana na wewe 100%. Hapa nipo natetemeka sijui kesho yangu itakuweje.

Nahisi makonda anaweza ingia mtaani kwetu na askari na kuwamuru watutwange risasi mtaa mzima na kesho akaambiwa Makonda chapa Kazi.
 
Ilikuwa ni waziri mkuu wa china mkuu siyo rais...ila umeandika raid rekebisha basi.

Hii ingekuwa Tanzania eti makonda ndo avae hvo...nahisi Magu angemfukuza..ila wakenye wamelalamika sana wengine wanasema Sonko bado ako na utoto haikuwa poa kuvaa hvo.

Ila aliyenivunja mbavu ni Ruto jinsi alivocheka..sijui hata kilichomchekesha hvo nn tu. Ila kenyata bwana...wala hata hakuona kama ni kitu cha ajabu sana.
Makonda amefanya ujambazi clouds wala rais hajashtuka na matokeo yake Nape kafukuzwa, amtimue kwa uvaaji!
 
Back
Top Bottom