Senetor Wa jiji la Nairobi azua gumzo uwanja Wa ndege


Pole ,bado upo gizani mkuu....kama angevaa hivyo kwa sasa ambao wangemcheka ndiyo wangetumbuliwa.....
 
Pole ,bado upo gizani mkuu....kama angevaa hivyo kwa sasa ambao wangemcheka ndiyo wangetumbuliwa.....

Kweli mkuu kwa yaliyotokea leo nakubaliana na wewe 100%. Hapa nipo natetemeka sijui kesho yangu itakuweje.

Nahisi makonda anaweza ingia mtaani kwetu na askari na kuwamuru watutwange risasi mtaa mzima na kesho akaambiwa Makonda chapa Kazi.
 
Makonda amefanya ujambazi clouds wala rais hajashtuka na matokeo yake Nape kafukuzwa, amtimue kwa uvaaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…