Yuko Mapumzikoni!!Kwa sasa ndio unateseka zaidi huku yeye akiwa mapumzikoni.
Leo unashinda njaa huku ukiendeleza msongo wa mawazo milele.
Kama unamtamani meza sumu ili umfuate mkamalizane,hakuna aliyekuzuia mbwa koko wewe!
Shetani muuaji kama yule awe Mapumzikoni!!!!!
We lazima utakuwa na wazimu..
Kamfate Chattle umsaidie damu alizomwaga duniani