Sensa imegeuka mrija wa upigaji. Nia njema ya Rais iende sambamba na uadilifu

Sensa imegeuka mrija wa upigaji. Nia njema ya Rais iende sambamba na uadilifu

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
 
Napingana na wewe hao ndio wanachukua chako mapema,na maisha ya mazoea na maslahi mbele yamewajaa,hivyo zoezi linge shindwa kufanikiwa hata kabla ya kuanza,maoni yangu wao watumike TU kutoa maelekezo na taarifa muhimu kama wenyeji TU na SII vinginevyo 🤔
 
Mawazo yako ni mema sana mleta sledi.Sensa ni zoezi pana na la kisayansi.Tunahitaji takwimu/taarifa za uhakika kwa ajili ya mipango.Waheshimiwa wetu wenyeviti na baba zetu mabalozi wengi wao(si wote)wapo nyuma kiteknolojia.Wangechelewesha au kukwamisha zoezi.Waache waliopata kwa vigezo wafanye kazi hiyo.
 
Wewe imekuuma nini.
Kwani pesa unatoa wewe au zinatoka kwenye ukoo wenu.

Kazi ya pesa ni matumizi na zoezi hili ni miongoni mwa jukumu la gvt kulitekeleza kwa ufasnisi zaidi kwa kutumia wataalam wake

Acha pesa iingie mtaani kupitia hao makarani na wasimamizi wa sensa.

Tuwakumbushe tu: walifanye zoezi kwa umakini na uadilifu wa hali ya juu.
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya Gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Kwahiyo umekasirika watu kupata temporary job?

Hiyo pesa ipo kwenye bajeti na ilishapitishwa na bunge, ukiona mtu yupo kwenye hivi vibarua vya muda vya sensa usimuonee wivu ni kapuku mwenzako tu, hakuna mtu mwenye mishe zake utamkuta kwenye hivi vibarua vya ukarani wa sensa.

Punguza wivu unajidhuru afya yako.
 
Kwahiyo umekasirika watu kupata temporary job?

Hiyo pesa ipo kwenye bajeti na ilishapitishwa na bunge, ukiona mtu yupo kwenye hivi vibarua vya muda vya sensa usimuonee wivu ni kapuku mwenzako tu, hakuna mtu mwenye mishe zake utamkuta kwenye hivi vibarua vya ukarani wa sensa.

Punguza wivu unajidhuru afya yako.
Acha kueleza ukweli sana mkuu.😂😂😂😂
 
Kwahiyo umekasirika watu kupata temporary job?

Hiyo pesa ipo kwenye bajeti na ilishapitishwa na bunge, ukiona mtu yupo kwenye hivi vibarua vya muda vya sensa usimuonee wivu ni kapuku mwenzako tu, hakuna mtu mwenye mishe zake utamkuta kwenye hivi vibarua vya ukarani wa sensa.

Punguza wivu unajidhuru afya yako.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji16]daahh
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya Gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Tahila wewe,unaingilia mambo ya kitaalamu
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Semina elekezi ndio mambo yetu hayo !! Mwaka 2005 tuliposhinda uchaguzi na baada ya kuteuliwa wakuu tulienda Hoteli ya kitalii ya Ngurdoto kufanya semina yetu elekezi !! KAZI NA BATA !!
 
... wajumbe wa nyuma kumi unawajua au unawasikia?
  • wachache wako vizuri; wengi wana uwezo na uelewa mdogo sana wa mambo. Unajua kuna baadhi hata kuhesabu na kuandika hawajui? Huyu unampelekaje kuhesabu watanzania?
  • wengi ni makada; sensa ni zoezi la kitaifa lisilotakiwa kuangalia ukada; linahitaji neutrality ya hali ya juu kwa wahusika. Imagine karani wa sensa anakuja kwako na maguo ya kijani; wengi wao walivyo wanaweza kuyavaa kwenye zoezi la sensa.
  • wengi wao hawana mahusiano mazuri na watu wao - wazushi, waongo, wafitini, n.k. Sensa haitaji watu aina hiyo.
  • n.k. ... ongezea mengine ....
 
Nyoka akiwa ndani ya shimo lake usiingize mti ,,,atakulalua vibaya .wale wanaoona ugali mezani ndio wanaotoa povu
 
Napingana na wewe hao ndio wanachukua chako mapema,na maisha ya mazoea na maslahi mbele yamewajaa,hivyo zoezi linge shindwa kufanikiwa hata kabla ya kuanza,maoni yangu wao watumike TU kutoa maelekezo na taarifa muhimu kama wenyeji TU na SII vinginevyo [emoji848]
Una habari kwamba hiyo kazi inafanywa na UVCCM? jiandae kupikiwa data
 
Kwahiyo umekasirika watu kupata temporary job?

Hiyo pesa ipo kwenye bajeti na ilishapitishwa na bunge, ukiona mtu yupo kwenye hivi vibarua vya muda vya sensa usimuonee wivu ni kapuku mwenzako tu, hakuna mtu mwenye mishe zake utamkuta kwenye hivi vibarua vya ukarani wa sensa.

Punguza wivu unajidhuru afya yako.
Dah
Umesema ukweli mpk nimevuta hisia nilipovikumbuka vibinti viwili vinaishi na bibi yao hapa kitaa.
Kamoja kamepata kengine ndo huwa kanamfata mwenzie saa ya kutoka mana wanatoka late ours na hawana nauli so vinasindikizana night.

Acha na vyenyewe vimbadilishie menu bibi yao
 
Back
Top Bottom