CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
Kwanza semina ni siku 18
Halafu pesa wanayolipwa Hata sio kubwa kulingana na umuhimu wa zoezi lenyewe..
Tatu pesa hiyo hutoi wewe..
Nne na mwisho hili zoezi ni Kila miaka 10 Sasa kwanini watu wasinuafaike angalau kidgo..
Na mwisho kabla sijasahau
Punguza wivu mkuu
Halafu pesa wanayolipwa Hata sio kubwa kulingana na umuhimu wa zoezi lenyewe..
Tatu pesa hiyo hutoi wewe..
Nne na mwisho hili zoezi ni Kila miaka 10 Sasa kwanini watu wasinuafaike angalau kidgo..
Na mwisho kabla sijasahau
Punguza wivu mkuu