Sensa imegeuka mrija wa upigaji. Nia njema ya Rais iende sambamba na uadilifu

Sensa imegeuka mrija wa upigaji. Nia njema ya Rais iende sambamba na uadilifu

Kwanza semina ni siku 18
Halafu pesa wanayolipwa Hata sio kubwa kulingana na umuhimu wa zoezi lenyewe..
Tatu pesa hiyo hutoi wewe..
Nne na mwisho hili zoezi ni Kila miaka 10 Sasa kwanini watu wasinuafaike angalau kidgo..
Na mwisho kabla sijasahau
Punguza wivu mkuu
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Sensa ya 2012 kaya nyingi hazikuhesabiwa, sijui kitu gani kilitokea eneo tunaloishi wahesabiaji hawakuja
 
Dah
Umesema ukweli mpk nimevuta hisia nilipovikumbuka vibinti viwili vinaishi na bibi yao hapa kitaa.
Kamoja kamepata kengine ndo huwa kanamfata mwenzie saa ya kutoka mana wanatoka late ours na hawana nauli so vinasindikizana night.

Acha na vyenyewe vimbadilishie menu bibi yao
Kuna watu kwenye maisha wanashindwa kuvivaa kihisia viatu vya wenzao, unaweza kukosa wewe fursa fulani lakini ikasaidia wengi.
Kwanza semina ni siku 18
Halafu pesa wanayolipwa Hata sio kubwa kulingana na umuhimu wa zoezi lenyewe..
Tatu pesa hiyo hutoi wewe..
Nne na mwisho hili zoezi ni Kila miaka 10 Sasa kwanini watu wasinuafaike angalau kidgo..
Na mwisho kabla sijasahau
Punguza wivu mkuu
Kwanza pesa yenyewe jumla ni kama 1,250,000/= tu sidhani kama kuna zaidi.

Kuna ambao hizo hizo posho ndio utakuwa mtaji wao wa kuanzisha mradi mdogo wa ujasiriamali na kuna ambao lazima kwenye bar za mitaani kwao wawatambuwe na watapiga kibiriti ela yote hata vest ya kuvalia ndani hawatokumbuka
 
Popoma kweli wewe, kwahiyo ulitaka hao makada wa ccm ndo wasimamie zoezi nyeti kama hili?
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Nia Yako ni njema bt Kwa sensa acha ipite Ivo, ni muhimu sana.

Hilo jambo la kubana matumizi ni waache kutumia Yale ma V8, wakurugenzi, wabunge, makatibu,wizarani nk watumie Toyota land cruiser mkonga inatosha.😠😠😠

Wizi kwenye pesa za miradi ktk majiji na halmashauri udhibitiwe,

WARSHA na seminar wafanyie Ofisini, wasikodi mahoteli makubwa.
 
Acha tule posho mkuu. Nongwa sana mwanakwetu
 
watapigaje hela mkuu,na uwezi amini nimetumiwa sms et watahusika hao wenyeviti
huu ni mpango wa upigaji hamna atayekubali,yaani hamna mwenye huruma na pesa
IMG_20220805_182533.jpg
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Ushaliona dodoso?
Sensa siyo kuhesabu watu tu, ingekuwa hivyo wenyeviti wa serikali za mitaa wangetoa taarifa tu kila mmoja mtaani kwake kuna watu wangapi.
 
Kama waliweza kifanya chafuzi na kuzipika na kuziita chafuzi siwezi kushangaa🤔
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Huwezi kuelewa mdundo kama huchezi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.

Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?

Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.

Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Kila kitu kukifanya upigaji sio sahihi,hili zoezi linahitaji watu wenye uelewa..

Pia kuleta mada saizi wakati zoezi liko mwisho sio sawa.

Mwisho wakati mwingine pesa inatakiwa kufika kwenye mzunguko kwa haraka na Kwa watu wengi tofauti na kwenye miradi ambako mzunguko wake ni kidogo na unaenda Kwa watu wachache sana.
 
Back
Top Bottom