Ya Serikali au ya mwananchi anaekamuliwa tozo Kisha inapangiwa bajetiUnateseka na pesa ya serikali?
It's better inarudi kwa wananchi kwa njia hiyoYa Serikali au ya mwananchi anaekamuliwa tozo Kisha inapangiwa bajeti
Sensa ya 2012 kaya nyingi hazikuhesabiwa, sijui kitu gani kilitokea eneo tunaloishi wahesabiaji hawakujaSemina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.
Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?
Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.
Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Kuna watu kwenye maisha wanashindwa kuvivaa kihisia viatu vya wenzao, unaweza kukosa wewe fursa fulani lakini ikasaidia wengi.Dah
Umesema ukweli mpk nimevuta hisia nilipovikumbuka vibinti viwili vinaishi na bibi yao hapa kitaa.
Kamoja kamepata kengine ndo huwa kanamfata mwenzie saa ya kutoka mana wanatoka late ours na hawana nauli so vinasindikizana night.
Acha na vyenyewe vimbadilishie menu bibi yao
Kwanza pesa yenyewe jumla ni kama 1,250,000/= tu sidhani kama kuna zaidi.Kwanza semina ni siku 18
Halafu pesa wanayolipwa Hata sio kubwa kulingana na umuhimu wa zoezi lenyewe..
Tatu pesa hiyo hutoi wewe..
Nne na mwisho hili zoezi ni Kila miaka 10 Sasa kwanini watu wasinuafaike angalau kidgo..
Na mwisho kabla sijasahau
Punguza wivu mkuu
Nia Yako ni njema bt Kwa sensa acha ipite Ivo, ni muhimu sana.Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.
Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?
Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.
Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Ushaliona dodoso?Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.
Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?
Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.
Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Huwezi kuelewa mdundo kama huchezi[emoji16][emoji16][emoji16]Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.
Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?
Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.
Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu
Kila kitu kukifanya upigaji sio sahihi,hili zoezi linahitaji watu wenye uelewa..Semina zinazoendeshwa nchi mzima Kwa makarani wa sensa, zingeweza kupangwa vizuri tungeokoa pesa nyingi za umma na kuzielekeza kwenye maeneo mengine.
Mfano kulikuwa na ubaya gani kama wajumbe wa nyumba kumi na wenyeviti wa serikali za mitaa ,ambao ninauhakika wanawajua watu wao vizuri zaidi ,ndio wangepewa jukumu la kuhesabu watu Kila mtu Kwenye mtaa wake? Nini kingekosekana?
Nina uhakika Hawa wangepewa semina zoezi lingefanikiwa zaidi Tena Kwa mda mchache sana.mikusanyiko ya maseminari mikoa na wilaya zote Tena semina wanakaa mpaka siku tatu au nne na kwingineko mpaka Tano, wanalipwa posho na malazi.
Mimi naona kulihitajika mbadala Ili kuokoa pesa za umma,zoezi la sensa ni la siku Moja tu lakini semina zinafanyika wiki nzima hayo ni matumizi mabaya ya pesa, wakati mwingine tuwatumieni Hawa viongozi wa mitaa, itasaidia zaidi kuokoa gharama na kusafirisha watu Kwa ajili semina tu