Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu 1961 tumekuwa tukifanya sensa na kuahidiwa kuwa sensa inasaidia kuleta maendeleo kwa kujua idadi ya watu.
Swali: mbona sasa ni miaka zaidi ya 60 tunafanya sensa na hatuna maendeleo ya Maana?
Wewe kubari hesabiwa kwanza kisha subiri kinachofuata utaelewa tu taratibu taratibuTangu 1961 tumekuwa tukifanya sensa na kuahidiwa kuwa sensa inasaidia kuleta maendeleo kwa kujua idadi ya watu.
Swali: mbona sasa ni miaka zaidi ya 60 tunafanya sensa na hatuna maendeleo ya Maana?