Tangu 1961 tumekuwa tukifanya sensa na kuahidiwa kuwa sensa inasaidia kuleta maendeleo kwa kujua idadi ya watu.
Swali: mbona sasa ni miaka zaidi ya 60 tunafanya sensa na hatuna maendeleo ya Maana?
Tangu 1961 tumekuwa tukifanya sensa na kuahidiwa kuwa sensa inasaidia kuleta maendeleo kwa kujua idadi ya watu.
Swali: mbona sasa ni miaka zaidi ya 60 tunafanya sensa na hatuna maendeleo ya Maana?
Ina umuhimu kwa nchi zenye viongoz wanao jitambua ni sawa na kujua idadi ya watu kwenye familia yak utajua mchele unahitajikq kiasa gani nani anasumbuliwa na nin hivyo ni rahis kupanga pajet
Tangu 1961 tumekuwa tukifanya sensa na kuahidiwa kuwa sensa inasaidia kuleta maendeleo kwa kujua idadi ya watu.
Swali: mbona sasa ni miaka zaidi ya 60 tunafanya sensa na hatuna maendeleo ya Maana?