Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022.
Je, unahisi ni sahaihi kwa utafiti huu kwa mjibu wa “SENSA”?
Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022.
Je, unahisi ni sahaihi kwa utafiti huu kwa mjibu wa “SENSA”?
Ujumbe huu niliupata na nikampa mtoto wangu wa darasa la nne anitafsirie kwa kikinga lugha ya Makinda lakini tafsiri ikagoma, nikaishia kusema ndiyo sababu kila mradi tunafeli.
Asilimia 83.0 ya watu wenye umri wa miaka 15 na zaidi Tanzania wanajua kusoma na kuandika ambapo wanaume ni asilimia 86.8 ikilinganishwa na wanawake asilimia 79.5. Sensa2022.
Je, unahisi ni sahaihi kwa utafiti huu kwa mjibu wa “SENSA”?