Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
UVCCM mataahira sana, yaone hayo yamekaa kama manyama.Licha ya Klabu ya Soka ya Yanga kufungwa katika kilele cha Siku ya Mwananchi na klabu ya Vipers SC lakini ujumbe wao kuhusu Zoezi la Sensa na Makazi umekuwa ni ubunifu mzuri na wa kuigwa.
View attachment 2316612View attachment 2316613
...Wengine wangetaka kuingia na Fulana za 'Katiba Mpya' wagezuiwa kwanza! Ni Shiiidah!C
UVCCM mataahira sana, yaone hayo yamekaa kama manyama.