Sentensi 4 za Uongozi wa Diamond Platnumz kuhusu kilichotokea kwenye Fiesta

Angalia unavyojikanganya...
MY OPINIONS.. Ukisoma sentensi ya kwanza utagundua kumbe kulikua na mashindano ambayo sisi hatukuyajua,na meneja wa diamond kakubali kushndwa..
Mara tena... saa chache tu baadae:
Kumbuka kabla ya ile show watu weng waliweka kama ni ushndan kat ya kiba na diamon,hvo mashabiki wakaonesha wanupenda upane gani zaid..
Vipi jombaa, mbona hueleweki? Mara hamkufahamu, mara oh, kabla ya ile show watu wengi waliweka kama ushindani!!!!! We umeshasema ulikuwa hufahamu sasa how come tena unadai kabla ya show watu wengi... how did you know wakati hukufahamu lolote?
 
Yaani huku celebrity leo kuna boa manaake kula uzi ni domo na kiba hakuna jipya
 
Kuzomea wala sio issue wala nini na hata ukifuatilia nyuzi za humu JF, nyingi zimeletwa na hao hao kutoka kwenye kambi ya kuzomea... ingekuwa zimeletwa na watu kutoka kambi ya Diamond wakionesha ku-mind kwamba kwanini mtu wao amezomewa, sawa! Sasa kuzomea wamezomea... bado wanaleta nyuzi kibao kuendelea kumponda Diamond.. so, can you blame wale wanaojitokeza kumtetea Diamond?
 

Kweli wewe ni [MENTION=120017]mkwe Mwema kwa akili hizi familia yako iko imara sana,achana nae huyo ana hasira tokea juzi akiona mtu unampenda Kiba basi anakushambulia na gazeti hilooooo

Sisi tumeshamjua tunampotezea
 
Last edited by a moderator:
Bora wamtulize maana tulichoka sana na sentesi zao
"kwa mara ya kwanza msaani wa tanzania........"
 
Aibu mtu mzima kuzomewa kama toto lililojikojolea, kama mimi ndo ndomo sihudhurii tena fiesta zao, hatumtak ndomo, kiba ndo habar ya mujini

Hahahaaaaaaaaaaa 😀😀😀
 
bora wamtulize maana tulichoka sana na sentesi zao
"kwa mara ya kwanza msaani wa tanzania........"

Hahahaaaaaa kumbe kila mtu ana sababu yake eeh???????
 

watu wenye uelewa mkubwa kama wewe ni wachache sana humu ndani, asante kwa kumuumbua mleta mada, tabia chafu ya kuwalisha watu maneno mkomeeeeeeee
 
Aibu mtu mzima kuzomewa kama toto lililojikojolea, kama mimi ndo ndomo sihudhurii tena fiesta zao, hatumtak ndomo, kiba ndo habar ya mujini

Sasa watuache jukwaa la celeb tupumuwe, hivi mbona mama ubaya hakupanda jukwaani? Au alishasoma alama za nyakati?
 
huyu ndio wachawi mwenyewe, mpotezeee, mkumbushe tu akiwa muongo asiwe msahaulifu.
 
Kwani wapi meneja wa Diamond alipomtaja Ali Kiba kwenye mazungumzo yake. Naona mtoa maada hujielewi.
 
Sasa watuache jukwaa la celeb tupumuwe, hivi mbona mama ubaya hakupanda jukwaani? Au alishasoma alama za nyakati?

Mama ubaya nasikia yupo china anakula bata na shoga zake akina madinda

Hili jukwaa now too much, diamond mpaka inakera, japokuwa ni celebrity lakin too much
 

Unaakili sana, kapate novida naja kulipa
 

Mkuu unadhani watakuelewa?
Wao wakija hapa utasikia ni chuki, husda sijui fitna mara oooh Diamond anashushwa kwa lazima...
...kheee tutamaliza ndimu kwakweli!
 
Last edited by a moderator:

Watu walioingia kwa makundi waliokuja na mabasi ya kukodi mpaka uwanjani....walienda moja kwa moja kusimama pale kati wale ndio walikuwa wanacontrol audience yote kila kitu kilianzia pale shangwe kwa Kiba na zomeazomea kwa Diamond. Wengi walijikuta wanacheza ngoma wasioijua ndio maana kuna muda watu wote walikuwa kimyaaa kipindi Diamond maskini ya Mungu akiimba, ile kwa wanasaikolojia wanasema kutafakari baada ya kuhisi hawafanyi sawa....soma ishu za mob psychology utaelewa sio lazima ubebe uwanja wote kutimiza nia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…