mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Mama ubaya nasikia yupo china anakula bata na shoga zake akina madinda
Hili jukwaa now too much, diamond mpaka inakera, japokuwa ni celebrity lakin too much
Mkuu Transporter iko hivi..
Kama ambavyo mashabiki wa simba wanafurahia wakiifunga yanga,basi sahv ndio mashabiki wa alikiba tunavofurahia alibomfunika diamond kwenye show..
Sasa tatzo kuna baadhi ya wajinga kama NasDaz na matumbo wao hawaamini kama alikiba ana uwezo wa kumfunika diamond kwenye show akijipanga kama alivofanya juzi..
Wao wanadai hizo ni ftna,eti waTZ wanataka wamshushe,how.!!
Diamond n mkali na ataendlea kuwa hivo kama akiendlea kutoa nyimbo nzur,lakin inawezekana waTZ weng wanadhani bado hajafikia uwezo wa Alikiba so wakishndanishwa ndo inatokea kitu kama ile ya juzi..
Kumbuka kabla ya ile show watu weng waliweka kama ni ushndan kat ya kiba na diamon,hvo mashabiki wakaonesha wanupenda upane gani zaid..
Unaniita mimi mjinga ila nadhani unajisema wewe.
Hivi utamfunikaje mtu wakati hamjapanda bado stejini....??
Aya mmemzomea what next? we unavyoona ameshuka au amezidi kupanda??
Nna uhakika Diamond afanye show yake kesho mtashangaa kuona history mpya ikiandikwa. Ndio nilikuwa nakwambia rizki ya mtu huwezi kuipora Mungu akiandika kaandika.
Historia mpya iliyopo sasa ni hii ya Kiba kumfunika Diamond, hiyo historia nyingine unayoiota wewe kaisubili chooni.
Aibu mtu mzima kuzomewa kama toto lililojikojolea, kama mimi ndo ndomo sihudhurii tena fiesta zao, hatumtak ndomo, kiba ndo habar ya mujini[/QUOT
Baada ya tukio la fiesta nimeanza kumuelewa Jide alifanya la maana kuwachana hawa jamaa.Nilifikiri Jide mkorofi kumbe!! Diamond ahachane na Fiesta kabisa.
Aibu mtu mzima kuzomewa kama toto lililojikojolea, kama mimi ndo ndomo sihudhurii tena fiesta zao, hatumtak ndomo, kiba ndo habar ya mujini[/QUOT
Baada ya tukio la fiesta nimeanza kumuelewa Jide alifanya la maana kuwachana hawa jamaa.Nilifikiri Jide mkorofi kumbe!! Diamond ahachane na Fiesta kabisa.
Clouds wanasaidia sana wasanii, ila hawapendi kuona wasanii wanaowasaidia wakikua zaidi au kufanikiwa, apo watafanya juu chini kumshusha ndomo kwa sababu wanajua ni tishio kubwa sana na huenda akawasaliti kama jide , so wanachofanya ni kumuwahi ndomo na kumdhibiti kama walivyojaribu kufanya kwa jide, ndomo asipokuwa makini sasa ivi atashuka, clouds wana mkono mrefu sana kwenye tasnia ya muziki apa bongo, inabid apambane sana maana hii vita siyo ya kitoto, anapambana na watu wenye mafanikio na pesa kuliko yeye, akizubaa tu tutamsahau, ndomo ana nguvu na uwezo wa kufanya chochote kwa sasa kama alivyofanya jide, hawa watu sio wazuri
Clouds wanasaidia sana wasanii, ila hawapendi kuona wasanii wanaowasaidia wakikua zaidi au kufanikiwa, apo watafanya juu chini kumshusha ndomo kwa sababu wanajua ni tishio kubwa sana na huenda akawasaliti kama jide , so wanachofanya ni kumuwahi ndomo na kumdhibiti kama walivyojaribu kufanya kwa jide, ndomo asipokuwa makini sasa ivi atashuka, clouds wana mkono mrefu sana kwenye tasnia ya muziki apa bongo, inabid apambane sana maana hii vita siyo ya kitoto, anapambana na watu wenye mafanikio na pesa kuliko yeye, akizubaa tu tutamsahau, ndomo ana nguvu na uwezo wa kufanya chochote kwa sasa kama alivyofanya jide, hawa watu sio wazuri
Binamu warumi wakati sisi tulipostand unite na dada yetu Commando Jide wao walikuwa upande wa dhulma na Mwanahamis wao na tuliwafunza adabu leo ndio wanauona ubaya wa clouds kisa Domo lao limepata aibu ya kufungia mwaka 2014. Achana nao wanafki hao.
Clouds wanasaidia sana wasanii, ila hawapendi kuona wasanii wanaowasaidia wakikua zaidi au kufanikiwa, apo watafanya juu chini kumshusha ndomo kwa sababu wanajua ni tishio kubwa sana na huenda akawasaliti kama jide , so wanachofanya ni kumuwahi ndomo na kumdhibiti kama walivyojaribu kufanya kwa jide, ndomo asipokuwa makini sasa ivi atashuka, clouds wana mkono mrefu sana kwenye tasnia ya muziki apa bongo, inabid apambane sana maana hii vita siyo ya kitoto, anapambana na watu wenye mafanikio na pesa kuliko yeye, akizubaa tu tutamsahau, ndomo ana nguvu na uwezo wa kufanya chochote kwa sasa kama alivyofanya jide, hawa watu sio wazuri
Ni kweli aisee usipo kuwa makini una kwenda na maji na unasahaulika kabisa na wasanii nao wajifunze kujiamini na kazi zao sio kutegemea watu wachache wa kupandishe Jide was strong na wengi walikua wana mkubali na akapata support Jide walimtenga wasanii wote but she stood na akafika wajifunze sasa
Unaniita mimi mjinga ila nadhani unajisema wewe.
Hivi utamfunikaje mtu wakati hamjapanda bado stejini....??
Aya mmemzomea what next? we unavyoona ameshuka au amezidi kupanda??
Nna uhakika Diamond afanye show yake kesho mtashangaa kuona history mpya ikiandikwa. Ndio nilikuwa nakwambia rizki ya mtu huwezi kuipora Mungu akiandika kaandika.
HIZI NI SENTENSI 4 ALIZOZISEMA MENEJA WA DIAMOND KUHUSU DIAMOND KUZOMEWA KWENYE FIESTA..
1.sisi tumechukulia sehemu ya mashindano,uzuri sisi tuliambiwa na uongozi wa Clouds kabla ya Diamond hajapanda ilikua saa 3 kamili tukaitwa tukaambiwa kuna watu wamejiandaa kumzomea Diamond.
2.Kama uongozi tulikaa na msanii wetu na kumjenga kisaikolojia na kumwambia kuna hivi vinatokea wao walitaka aanze Davido kisha afate Diamond kupunguza watu watakaozomea tukasema hapana pangeni show yenu kama ilivyokuwa ni sehemu ya mashabiki kufurahi.
3.Hatujaathirika kwamba msanii wetu ameshuka tunapoona watu wanapiga kelele kwa ajili yako au huna sifa ile unatakiwa uangalie umekosea wapi unaenda wapi,hatuna makosa kwa mashabiki wetu.
4.Kikubwa Diamond anafanya vizuri tunatakiwa kuhamisha macho yetu tumpigie kura Diamond kwenye tuzo za Channel O Music Awards, kwa sababu mwisho wa siku chema chajiuza kibaya chajitembeza
MY OPINIONS..
Ukisoma sentensi ya kwanza utagundua kumbe kulikua na mashindano ambayo sisi hatukuyajua,na meneja wa diamond kakubali kushndwa..
MY TAKE..
Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halali,.??
nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekana kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..
CHA MSING #TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAFANIKIO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye MAFANIKIO hapa TZ.!!
Kwanini mashabiki hawamzomei Jide JAY DEE,mbona yeye ana mafanikio kuliko DIAMOND.?
Au mafanikio ni kuwachakaza bongo movies.?
Mwisho,watu hawapendezwi na tabia za diamond pamoja na majivuno yake,hata JUSTIN BEIBER kule malekani kwa sasa mashabiki wanamchukia sana kwasababu hyo,inabd abadrike..
Mfano mimi binafsi namchukia kwasababu alisema mkoani kwetu hakuna hoteli yenye hadhi ya kufikia yeye,wakat hata KOFI ANAN alikujaga mbeya na kulala kwenye hotel mojawapo hapa..sasa yeye na ANAN nan yupo juu..
DIAMOND PLATNUMZ=JUSTIN BEIBER..
Akili yako haina akili,bora ungeeendelea kucopy maneno ya watu sio take zako,pumba tupu,nan kakwambia JB anachukiwa Amerca?mfollw insta na twitter uone alvo na fans weng,acha roho mbaya ww mihemko ndo imekufanya upost hiv bt ukwel utabak pale pale Diamond ndo habar ya mjini,hakuzomewa na umati wote n wahun wachache waliokuwa mbele wenye wivu kama ww na pamoja na kuzomewa mwenzio katajwa kuwania tuzo channel O sasa huyo kibabu ako wa zama za mawe za kale yupo wapi?ukifika Omega ako kubali matokeo usitake urud Alfa kwa nguvu kubwa na kutumia wadogo zako waliokukuta kwenye game.....pooor Pro AllyKyuma
Was it necessary kuita watu wajinga? Hivi kwanini unapenda kutumia lugha cEti waTZ wana wivu ndo sababuvya kumzomea,ndio maana nasema wewe matumbo na mwenzako NasDaz na mwngne Paula kilaki ni wajinga wa kutupwa,yan mtu kazomewa jukwaani mnadai n wivu wa mafanikio...