[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijakupenda..(apo manzi anataharuki, kisha kdume naendelea kiupolee)..nimekutamani unipende(anatabasaamu, namshika viganja vya mkono namchezea vdole)..ata kama tumeonana siku ya kwanza atujazoeana namvuta kwangu nampa mkubatio matata kisha namnong'oneza "usiishangae dunia maan imenleta kwako"
Cjawai kula mtoso mbele ya hii mbinu, japo na kuhonga nako kunanisaidia [emoji3][emoji3]
Mi naanza kumchekesha huku nimenuna...najisifia huku nimenuna tu mara week hii makazi yalikuwa mengi macho yananiuma akithubutu kusema kwanini namwambia nimekaa kwenye computer mda mrefi...unajua wanawake sio wa kutongoza just muonyeshe upo juu yake hata kimasihara tu unampata...sio lzm umsifie sana ila lazima ujue kujisifia sana ila indirect way sio mi nina gari mara hivi mara vile anakuona mshamba tu.....this week nipo busy...tyr keshajua unachakufanya sio mkaa vijiweni,next week tuna ugeni ofisini hawa wazungu wanatupelekesha htr kesha jua unafanya kazi hadi na wazungu,ukitaka kuonyesha una hela unaweza nnunua korosho ya 10000 tu hlf ulivyo mjinga unasingizia yaani mi napenda sana korosho kumbe huna lolote unamuonyesha naweza kutumia hela kwa kitu kdg nachokipenda coz nina pesa...
Duuu bado mwanafunzi mimiMkuu mwisho wa mwaka tukumbushane nkupatie cheti cha mtunga mbinu bora [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]am dead unakutanaga na vilaza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tiririka na wewe mstari uliokukamata.Mnatiririka tuu
Sikamatwagi kizembeTiririka na wewe mstari uliokukamata.
Na akaenda kweli?Chukua funguo tangulia getho nakuja kukutomb......
Eehe, unakamatwaje sasa?Sikamatwagi kizembe