Sentesi Gani ukiisikia unajua tayari kuna mtu kaibiwa?

Serikali ina nia njema sana! Muiamini serikali yenu. Hapo ujue Kuna bonge la okoto limepigwa.
 
Jiunge halafu uunganishe watu 5
Kuna mdada flani alinambia nijiunge kisha niunganishe wengine watatu baada ya mwezi nitaendesh gari la ndoto yangu ........ nikamwambia anipe namba zake .....siku ya kaanz nilimtoa dina akanywa na bia 3 ...... juma pili yake akaja geto ...... tangu nlimla hajaniuliza maswala ya kunga tena ...sahv ananita baby
 
"Nilitaka nishangae, Mwaka kuisha bila kutoa Sadaka"
 
"Aliniambia Ashafika Stend anasubiri tuu Pesa atoe akate tiketi aje"
 
Mama ameniambia niwapikie wageni kwanza...😤😤😤
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…