Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
"yanga hii haina tofauti na yanga ile ya bila senzo. Viongozi tukikaa nao wanalalamika kuwa jamaa hana mchango,msaada wowote na hata walimwajiri ni kama wanashindwa wafanye nini naye.
anapenda sana starehe ila kiutendaji hana jipya hasa kwa sasa anaonekana kuwadharau wote na kujiona yeye pekee ndo katika yanga anaufahamu mpira.
sisi yanga tulitegemea angekuwa anatushauri jinsi ya kuendesha team kisasa, kupata wachezaji wazuri,makocha wazuri n.k
Hana mikakati yoyote endelevu zaidi zaidi tu hupenda kusema mimi nlipokuwa team xxx nlifanya 1,2,3... Tunapomwambia tupe mikakati hapa sasa tunaelekea wapi anakosa majibu.
Kiukweli hata maboss wenyewe wamepunguza sana kumshirikisha mambo amebaki tu kama ceremonial coz ni aibu kwa sasa kusema tulikurupuka. Ni bora tungemchukua mwinyi zahera. Si huyu jamaa.
Au pengine kuna mambo yanamkwamisha?au simba kipindi kile walikuwa wanamkuza tu kupitia manara but hamna kitu? Yanga tunahitaji kujenga team tena kimkakati.bila hivyo tutapata shida mbeleni.
Siku zote huwa naongea ukweli wacha nichukiwe. Ni kwamba either hatuna kazi za senzo kufanya pale kwetu au senzo haoni kazi za kufanya pale kwetu.
Kama tungeweza mchukua cr.magori wa simba tungekuwa tumelamba dume kuliko hili galasa la south africa ambalo lilikimbilia kwetu baada ya kupata taarifa linataka temwa simba kwa kutoona mchango wake.
Ni bora yanga tungeajiri watu kama akina sekilojo chambua,ally mayai n.k watanzania wenzetu wenye kuufahamu mpira. But huyu tumelamba galasa. Alijengwa na simba kisiasa tu hamna kitu pale."
Haya yameandikwa na Mwanayanga katika group la whatsapp la Wanayanga. Si maneno yangu. Ni copy and paste.
anapenda sana starehe ila kiutendaji hana jipya hasa kwa sasa anaonekana kuwadharau wote na kujiona yeye pekee ndo katika yanga anaufahamu mpira.
sisi yanga tulitegemea angekuwa anatushauri jinsi ya kuendesha team kisasa, kupata wachezaji wazuri,makocha wazuri n.k
Hana mikakati yoyote endelevu zaidi zaidi tu hupenda kusema mimi nlipokuwa team xxx nlifanya 1,2,3... Tunapomwambia tupe mikakati hapa sasa tunaelekea wapi anakosa majibu.
Kiukweli hata maboss wenyewe wamepunguza sana kumshirikisha mambo amebaki tu kama ceremonial coz ni aibu kwa sasa kusema tulikurupuka. Ni bora tungemchukua mwinyi zahera. Si huyu jamaa.
Au pengine kuna mambo yanamkwamisha?au simba kipindi kile walikuwa wanamkuza tu kupitia manara but hamna kitu? Yanga tunahitaji kujenga team tena kimkakati.bila hivyo tutapata shida mbeleni.
Siku zote huwa naongea ukweli wacha nichukiwe. Ni kwamba either hatuna kazi za senzo kufanya pale kwetu au senzo haoni kazi za kufanya pale kwetu.
Kama tungeweza mchukua cr.magori wa simba tungekuwa tumelamba dume kuliko hili galasa la south africa ambalo lilikimbilia kwetu baada ya kupata taarifa linataka temwa simba kwa kutoona mchango wake.
Ni bora yanga tungeajiri watu kama akina sekilojo chambua,ally mayai n.k watanzania wenzetu wenye kuufahamu mpira. But huyu tumelamba galasa. Alijengwa na simba kisiasa tu hamna kitu pale."
Haya yameandikwa na Mwanayanga katika group la whatsapp la Wanayanga. Si maneno yangu. Ni copy and paste.