Senzo + injinia Hersi wapindua meza kwa Luis, Ahly wakubaliana na Yanga

Senzo + injinia Hersi wapindua meza kwa Luis, Ahly wakubaliana na Yanga

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Injinia Hersi baada ya kudaka saini ya KI aziz Stephanie , Peter shalulile huku ikisemekana wanamtumia Ibenge kuharibu deal la Adebayor ili wamchukue amefanya matusi makubwa sana

...................Tiririka nayo kutoka kwa Fabrizio Romano wa Jamii forums..............................

Unaambiwa yale malipo ya dollar 900,000 kwenda kwa simba kutoka kwa Ahly yalikuwa yanalipwa nusunusu na bado hayajakamilika maana yalikuwa ni kwa miaka 4..sasa kutokana na kwamba konde boy anatolewa kwa mkopo au kuuzwa wengi walidhani angerudi simba lakini hakukuwa na clause hiyo hata kidogo

Senzo na Injina wamefanya mapinduzi makubwa sana sana imetumika kama usd milioni 1.2 kumleta konde boy jangwani msimu ujao

HUKU ADEBAYOR, KI AZIZI KONDE BOY PETER SHALULILE JOASH ONYANGO injinia herso anaanda team ya kuchukua ubingwa wa Afrika na wa klabu bingwa ya dunia kama alivyomuahidi Peter shalulile
Usajili mzito bado unaendelea pale jangwani mabingwa watarajiwa wa afrika na dunia 2023.
 
Injinia Hersi baada ya kudaka saini ya KI aziz Stephanie , Peter shalulile huku ikisemekana wanamtumia Ibenge kuharibu deal la Adebayor ili wamchukue amefanya matusi makubwa sana

...................Tiririka nayo kutoka kwa Fabrizio Romano wa Jamii forums..............................

Unaambiwa yale malipo ya dollar 900,000 kwenda kwa simba kutoka kwa Ahly yalikuwa yanalipwa nusunusu na bado hayajakamilika maana yalikuwa ni kwa miaka 4..sasa kutokana na kwamba konde boy anatolewa kwa mkopo au kuuzwa wengi walidhani angerudi simba lakini hakukuwa na clause hiyo hata kidogo

Senzo na Injina wamefanya mapinduzi makubwa sana sana imetumika kama usd milioni 1.2 kumleta konde boy jangwani msimu ujao

HUKU ADEBAYOR, KI AZIZI KONDE BOY PETER SHALULILE JOASH ONYANGO injinia herso anaanda team ya kuchukua ubingwa wa Afrika na wa klabu bingwa ya dunia kama alivyomuahidi Peter shalulile
Usajili mzito bado unaendelea pale jangwani mabingwa watarajiwa wa afrika na dunia 2023.
Mwandishi una undugu na Alinacha?
 
Injinia Hersi baada ya kudaka saini ya KI aziz Stephanie , Peter shalulile huku ikisemekana wanamtumia Ibenge kuharibu deal la Adebayor ili wamchukue amefanya matusi makubwa sana

...................Tiririka nayo kutoka kwa Fabrizio Romano wa Jamii forums..............................

Unaambiwa yale malipo ya dollar 900,000 kwenda kwa simba kutoka kwa Ahly yalikuwa yanalipwa nusunusu na bado hayajakamilika maana yalikuwa ni kwa miaka 4..sasa kutokana na kwamba konde boy anatolewa kwa mkopo au kuuzwa wengi walidhani angerudi simba lakini hakukuwa na clause hiyo hata kidogo

Senzo na Injina wamefanya mapinduzi makubwa sana sana imetumika kama usd milioni 1.2 kumleta konde boy jangwani msimu ujao

HUKU ADEBAYOR, KI AZIZI KONDE BOY PETER SHALULILE JOASH ONYANGO injinia herso anaanda team ya kuchukua ubingwa wa Afrika na wa klabu bingwa ya dunia kama alivyomuahidi Peter shalulile
Usajili mzito bado unaendelea pale jangwani mabingwa watarajiwa wa afrika na dunia 2023.
amka toka usingizini
 
Back
Top Bottom