Senzo Masingiza na Manara hakika mnalichafua soka la Tanzania

Senzo Masingiza na Manara hakika mnalichafua soka la Tanzania

Joined
Dec 23, 2021
Posts
56
Reaction score
228
Nilikuwa nafuatilia interview ya kocha wa Orlando Pirates kabla ya mchezo na hata baada ya mchezo,

Nilichogundua ni kuwa Kuna watu wamekuwa wakitoa taarifa za uongo kwa wageni kuhusu Simba. Taarifa hizo zimekuwa zikipandikiza chuki kwa wageni kwa kuamini kuwa kucheza na Simba nyumbani ni vita.

Mfano interview ya kwanza ya kocha wa Orlando pirates alianza kuilaumu Simba bila ya kuwa na sababu za mashiko eti kwamba hawakupewa escort ya kutosha "mambo ya hovyo kabisa".

Orlando walikuja na kila kitu chao kuanzia msosi na kila kitu haikutosha wakakataa kupanda bus waliloandaliwa na Simba, baada ya mchezo kocha pia anarudi akisema Simba haikustahili kushinda kwa sababu walipewa penati ya bure na wao wakanyimwa penati halali.

Haya yote yanaonesha kuwa kuna watu nyuma ambao kazi yao ni kutoa taarifa za uongo na kupandikiza chuki kwa wageni kwamba Ili Simba ishinde basi inahitaji kufanya figisu na hili linakaa vichwani kwa wageni ndo maana unakuta wageni wanakuwa wanalaumu kwa kila kitu wakiamini ni zile figisu walizoambiwa na manara pamoja na senzo.

Manara kama alithubutu kuongea ujinga wa kuwaambia Asec Mimosas kwamba wasafishe vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba wamepuliza dawa atashindwa vipi kuzungumza haya ninayoyasema na ukizingatia yeye alikuwepo Simba msimu ulopita, hii inawafanya wageni wamuamini kwa asilimia zote.

Hii tabia inalishusha sana soka la bongo kwa kuonekana ni la kibabaishaji.

Pua senzo!, Pua manara!, Pua!, Pua kabisa!!
 
Ukiachana na tuhuma nyingine ambazo ilibidi CAF kuingilia kati kwa kuandika barua ya karipio kuhusu vitendo visivyokuwa vya kimichezo, jana na vile "vitochi" vilikuwepo ila havikufanya kazi.
 
Lawama yangu ni kwa wizara,iko kimya. Kwa nchi zenye uongozi makini Senzo angeshafukuzwa na Manara kupewa onyo. Tz uhuru unazidi.

Sijui kwa nini TFF na wizara wanaamini suala hili ni la Simba na sio la kitaifa. Wameweka jinembo Visit Tz, linachafuliwa na wako kimya tu.

Waziri anachojua ni kutoa pongezi baada ya ushindi. Upumbavu kama huu anaunyamazia akidhani ni utani wa jadi.
 
Unamwingiza vipi Bingwa? Hivi una akili timamu kweli?
Uyo anaitwa kina kirefu mambo yake yanaendana na Id yake, badala abaki kugombania nafasi ya pili na wakina azam na namungo yeye amebaki kuota tu baada ya kushiba kande za kiporo
 
Lawama yangu ni kwa wizara,iko kimya. Kwa nchi zenye uongozi makini Senzo angeshafukuzwa na Manara kupewa onyo. Tz uhuru unazidi. Sijui kwa nini TFF na wizara wanaamini suala hili ni la Simba na sio la kitaifa. Wameweka jinembo Visit Tz, linachafuliwa na wako kimya tu. Waziri anachojua ni kutoa pongezi baada ya ushindi. Upumbavu kama huu anaunyamazia akidhani ni utani wa jadi.
Yani huu mpira unafanya watu timamu sasa kuwa kama vichaa, immigration rules zipi ambazo amevunja Senzo?

Morrison haruhusiwi kuingia Afrika kusini kwa sababu ambazo ziko wazi na ni criminal pia.
 
Lawama yangu ni kwa wizara,iko kimya. Kwa nchi zenye uongozi makini Senzo angeshafukuzwa na Manara kupewa onyo. Tz uhuru unazidi. Sijui kwa nini TFF na wizara wanaamini suala hili ni la Simba na sio la kitaifa. Wameweka jinembo Visit Tz, linachafuliwa na wako kimya tu. Waziri anachojua ni kutoa pongezi baada ya ushindi. Upumbavu kama huu anaunyamazia akidhani ni utani wa jadi.
Hakuna upuuzi kama huo ,hayo yanaweza kutokea kwenye nchi kama Urusi ya Putin au China.
 
Huyo mzungu wa yanga kunasiku yatamkuta makubwa, anajisahau Sana.
 
Lawama yangu ni kwa wizara,iko kimya. Kwa nchi zenye uongozi makini Senzo angeshafukuzwa na Manara kupewa onyo. Tz uhuru unazidi. Sijui kwa nini TFF na wizara wanaamini suala hili ni la Simba na sio la kitaifa. Wameweka jinembo Visit Tz, linachafuliwa na wako kimya tu. Waziri anachojua ni kutoa pongezi baada ya ushindi. Upumbavu kama huu anaunyamazia akidhani ni utani wa jadi.
Hii nchi imejengwa Kwa misingi ya chuki unafiki na kujipendekeza.
Watu wanaishi Kwa kuombeana mabaya na kulogana TU.

Kosa kubwa sana walilolifanya waasisi wa nchi hii ni kujenga Taifa lisilo na tamaduni Wala miiko iliyowekwa Kikatiba.

Ndio maana watu wanaamini sana katika kufanya figisu ili wapate mafanikio. Watanzania wengi wanaamini kuwa huwezi kufanikiwa Kwa kusimama katika Haki na kweli. Hata biashara watu wanaamini kuwa huwezi kufanikiwa bila kutumia uchawi au biashara HARAMU na kukwepa Kodi na biashara za magendo.

Hili limejengeka sana vichwani mwa watu. Hata walioajiriwa wanaamini kuwa hakuna mafanikio bila ujanja ujanja na wizi maofisini. Hali hii imegeuka kuwa ndiyo desturi ya watanzania. Serikali tangu uhuru imechangia sana kujenga Taifa ovu na ndilo linalorithishwa Kwa vizazi vijavyo.

Mwaka 2020 Kuna watu walikua wanapora mpaka watu fomu za uchaguzi ili washinde wao kirahisi. Ni nchi ya hila na figisu. Sasa kila mmoja haamini katika kushinda Kwa uhalali.

Ndio maana wanawaambiwa Wageni Mila zao na desturi za watanzania ni udanganyifu na figisu hata kama Simba wanaupiga mwingi lakini Kuna desturi za watanzania zimeathiri akili za watu.
 
Jambo muhimu wanalopaswa kuelewa Makolo ni kuwa msimu huu kombe lao litakuwa la Mapinduzi pekee
 
Nilikuwa nafuatilia interview ya kocha wa Orlando pirates kabla ya mchezo na hata baada ya mchezo,

Nilichogundua ni kuwa Kuna watu wamekuwa wakitoa taarifa za uongo kwa wageni kuhusu Simba.
Taarifa hizo zimekuwa zikipandikiza chuki kwa wageni kwa kuamini kuwa kucheza na Simba nyumbani ni vita.

Mfano interview ya kwanza ya kocha wa Orlando pirates alianza kuilaumu Simba bila ya kuwa na sababu za mashiko eti kwamba hawakupewa escort ya kutosha "mambo ya hovyo kabisa".
Orlando walikuja na kila kitu Chao kuanzia msosi na kila kitu haikutosha wakakataa kupanda bus waliloandaliwa na Simba, baada ya mchezo kocha pia anarudi akisema Simba haikustahili kushinda kwa sababu walipewa penati ya bure na wao wakanyimwa penati halali.

Haya yote yanaonesha kuwa Kuna watu nyuma ambao kazi Yao ni kutoa taarifa za uongo na kupandikiza chuki kwa wageni kwamba Ili Simba ishinde basi inahitaji kufanya figisu na hili linakaa vichwani kwa wageni ndo maana unakuta wageni wanakuwa wanalaumu kwa kila kitu wakiamini ni zile figisu walizoambiwa na manara pamoja na senzo.

Manara kama alithubutu kuongea ujinga wa kuwaambia Asec mimosas kwamba wasafishe vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba wamepuliza dawa atashindwa vipi kuzungumza haya ninayoyasema na ukizingatia yeye alikuwepo Simba msimu ulopita, hii inawafanya wageni wamuamini kwa asilimia zote.
Hii tabia inalishusha sana soka la bongo kwa kuonekana ni la kibabaishaji.
Pua senzo!, Pua manara!, Pua!, Pua kabisa!!
Kuna yule sijui abdi banda yupo south ndo mwehu aliye waaminisha hao orlando kuwa simba ina nunua waamuzi. Tatizo la baadhi ya watu wakisha shindwa au mkataba ukiisha na wakaachwa wanakosa au kushindwa kutambua kuwa muda wao umeisha na maana ya mkataba ni kuwa na kikomo. Mtu mwerevu hawezi kuongea ujinga kama wa banda au manara kisa mkataba wa kufanya kazi pamoja umeisha au umevunjika.
 
Back
Top Bottom