Nipemkono tushindane
Member
- Dec 23, 2021
- 56
- 228
Nilikuwa nafuatilia interview ya kocha wa Orlando Pirates kabla ya mchezo na hata baada ya mchezo,
Nilichogundua ni kuwa Kuna watu wamekuwa wakitoa taarifa za uongo kwa wageni kuhusu Simba. Taarifa hizo zimekuwa zikipandikiza chuki kwa wageni kwa kuamini kuwa kucheza na Simba nyumbani ni vita.
Mfano interview ya kwanza ya kocha wa Orlando pirates alianza kuilaumu Simba bila ya kuwa na sababu za mashiko eti kwamba hawakupewa escort ya kutosha "mambo ya hovyo kabisa".
Orlando walikuja na kila kitu chao kuanzia msosi na kila kitu haikutosha wakakataa kupanda bus waliloandaliwa na Simba, baada ya mchezo kocha pia anarudi akisema Simba haikustahili kushinda kwa sababu walipewa penati ya bure na wao wakanyimwa penati halali.
Haya yote yanaonesha kuwa kuna watu nyuma ambao kazi yao ni kutoa taarifa za uongo na kupandikiza chuki kwa wageni kwamba Ili Simba ishinde basi inahitaji kufanya figisu na hili linakaa vichwani kwa wageni ndo maana unakuta wageni wanakuwa wanalaumu kwa kila kitu wakiamini ni zile figisu walizoambiwa na manara pamoja na senzo.
Manara kama alithubutu kuongea ujinga wa kuwaambia Asec Mimosas kwamba wasafishe vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba wamepuliza dawa atashindwa vipi kuzungumza haya ninayoyasema na ukizingatia yeye alikuwepo Simba msimu ulopita, hii inawafanya wageni wamuamini kwa asilimia zote.
Hii tabia inalishusha sana soka la bongo kwa kuonekana ni la kibabaishaji.
Pua senzo!, Pua manara!, Pua!, Pua kabisa!!
Nilichogundua ni kuwa Kuna watu wamekuwa wakitoa taarifa za uongo kwa wageni kuhusu Simba. Taarifa hizo zimekuwa zikipandikiza chuki kwa wageni kwa kuamini kuwa kucheza na Simba nyumbani ni vita.
Mfano interview ya kwanza ya kocha wa Orlando pirates alianza kuilaumu Simba bila ya kuwa na sababu za mashiko eti kwamba hawakupewa escort ya kutosha "mambo ya hovyo kabisa".
Orlando walikuja na kila kitu chao kuanzia msosi na kila kitu haikutosha wakakataa kupanda bus waliloandaliwa na Simba, baada ya mchezo kocha pia anarudi akisema Simba haikustahili kushinda kwa sababu walipewa penati ya bure na wao wakanyimwa penati halali.
Haya yote yanaonesha kuwa kuna watu nyuma ambao kazi yao ni kutoa taarifa za uongo na kupandikiza chuki kwa wageni kwamba Ili Simba ishinde basi inahitaji kufanya figisu na hili linakaa vichwani kwa wageni ndo maana unakuta wageni wanakuwa wanalaumu kwa kila kitu wakiamini ni zile figisu walizoambiwa na manara pamoja na senzo.
Manara kama alithubutu kuongea ujinga wa kuwaambia Asec Mimosas kwamba wasafishe vyumba vya kubadilishia nguo kwa maana Simba wamepuliza dawa atashindwa vipi kuzungumza haya ninayoyasema na ukizingatia yeye alikuwepo Simba msimu ulopita, hii inawafanya wageni wamuamini kwa asilimia zote.
Hii tabia inalishusha sana soka la bongo kwa kuonekana ni la kibabaishaji.
Pua senzo!, Pua manara!, Pua!, Pua kabisa!!