Senzo Masingiza na Manara hakika mnalichafua soka la Tanzania

Kwa ninachokiona mimi , simba na Yanga siyo watani tena. Kwasasa ni maadui. Hii imetokana na viongozi wa hivi vilabu kuwa na kauli za ovyo tena za kichonganishi

Manara ni tatizo kwa mpira wa Tz. Huyu mtu asipoonywa ataligawa taifa kwa itikadi za usimba na uyanga na ipo siku atasababisha maafa kwa tabia zake za kinafiki .

Senzo hana cha kupoteza. Ipo siku atarejea kwao huku akiacha ametugawa.
 
Jambo muhimu wanalopaswa kuelewa Makolo ni kuwa msimu huu kombe lao litakuwa la Mapinduzi pekee
Mkuu Kwani tatizo liko wapi? Mmekaa miaka 4 bila hata kikombe cha kahawa. Je , mlikufa kwasababu ya kukosa kombe? Mpira ndivyo ulivyo. Huwezi kuwa bora muda wote. Na lazima tukubaliane na hiyo hali.
 
Yani huu mpira unafanya watu timamu sasa kuwa kama vichaa, immigration rules zipi ambazo amevunja Senzo?

Morrison haruhusiwi kuingia Afrika kusini kwa sababu ambazo ziko wazi na ni criminal pia.
Sidhani kama mleta mada kuna sehemu amehusisha matatizo ya morisson na senzo.
 
Mtalii Mnigeria baada ya kutoa tuhuma ya kubakwa kwenye hotel, serikali imetoa tamko. Manara , Abdi Banda wanaituhumu simba kwamba wako tayari kuhatarisha usalama wa wapinzani wao ili kupata ushindi,serikali kimya wakati wanajua kazi ya kulinda usalama wa mtu yoyote aliyeko Tanzania ni wao.

Simba ifute hayo maneno visit Tanzania wayaandike kwenye jezi za mautopolo walio wasafi.
 
Yani serikali iingilie siasa za mpira? Wewe utakuwa haupo serious.
 
Yani unamuogopa Abdi Banda aliyesema ukweli unawasingia Senzo na Manara.
Akili ndogo mnadhani Ni SIMBA tu I anaharibiwa sifa, kumbe Ni timu zote za Tanzania, pamoja na Utopolo itakayoenda kucheza mechi 2 za klabu bingwa mwakani na kurudi.
 
Akili ndogo mnadhani Ni SIMBA tu I anaharibiwa sifa, kumbe Ni timu zote za Tanzania, pamoja na Utopolo itakayoenda kucheza mechi 2 za klabu bingwa mwakani na kurudi.
This is shabiki Wa simba😅😅line ya tatu imenichekesha.😅
 
Chanzo cha yote ni CCM
 
Kwani mambo ya kuchaguliana marafiki yameanza lini? Yaani serikali ianze kuhangaika na maoni yatolewayo michezoni!
 
Kwani mambo ya kuchaguliana marafiki yameanza lini? Yaani serikali ianze kuhangaika na maoni yatolewayo michezoni!
Ndo nashangaa mkuu.....yaani tuanze mambo NATO na urusi[emoji23][emoji23] kuchaguliana ma friends
 
Wote hao wamefanya kazi Simba na kwa muda mrefu, pengine walikuwa sehemu ya utekelezaji wa hayo yanayolalamikiwa.
 
O
Orlando walichemsha uwanjani. Takwimu za mchezo zinaonesha kuwa Simba ilikuwa juu kwa karibuni vigezo vyote vya kitakwimu! Ndio maana Simba ikaingiza wachezaji 5 kwenye timu ya wiki kwenye confederation cup! Kwenye timu ya wiki hata ukiwatafuta Orlando Pirates kwa tochi hutawaona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…