Ukiiua Yanga unapata faida gani, badala ya kuifikiria TP Mazembe na Mamelody unaifikiria Yanga.Huyu anaenda kuwa jasusi pale Yanga! Hii ni mbinu ya kuibomoa Yanga! Naiona utopolo fc ikizidi kuyumba ! Trust me! Njia kuu ya kumuua mpinzani ni kuwa na jasusi katika kambi pinzani! Simba sc wamedhamiria kwelikweli kuiua Yanga! Ukibisha uje na facts za kueleweka. SENZO ANAENDA KUWA JASUSI PALE YANGA SC.
Pole sana,ninyi ndio klabu yenye uswahili mwingi hapa nchini kuliko hata vikundi vya kusutanaProfessional CEO angejiuzulu na kueleza sababu, sio kukimbilia sebuleni kwa mtu kusaini mikataba ya klabu ya Yanga.
Wasubilie kupigwa viganja kule kwenye mashindano ya Afrika, [emoji112]Ukiiua Yanga unapata faida gani, badala ya kuifikiria TP Mazembe na Mamelody unaifikiria Yanga.
Senzo kasema kuwa Simba hakuna kitu kinaitwa professionalism bali Manara yeye akijipendekeza kwa Mwamed basi ndiyo anayepewa kipaumbeleKwa hiyo hizi zako ndo fact,kwa namna hii ndo maana Senzo kaondoka.Ile Simba unaishi kihunihuni tu.
Kesho ni zamu ya kumsainisha Mwamed na ManaraManyani fc mnasemaje?
Labda simba inunue hapo kufugia vyura /NYANITumewatenda mbumbumbu fc utafikiri ni katimu ka mkoani huko! Yaan utadhani hawana mwekezaji! Tukipata mwekezaji si tutanunua mpaka kajengo kao na kale ka uwanja kao kule Bunju
Kasida za mamayoBado Kanda na Chama muda wote wana ungana na CEO wao maana ndiye wanaye elewana lugha, kule wameshindwa kufundishwa kasida na Manara
Huyu nae tangu wale majamaa wakae nae wiki kadhaa gheto akili zake kama Lip.mbaMo huyoooooView attachment 1532293
Kweli hayo matangazo ni machafu ila UCHAFU wa mbeleni kwa mamayo umezdKESHO ANATANGAZWA RASMI
TUTAKUWANANPICHA KAMA HII
TOFAUTI NYUMA ATUTAKUWA NA MATANGAZO MACHAFU MACHAFU KAMA HAYA
GSM..LDNView attachment 1532338
Subiri kesho Monday utaijua simbaMSIOJUA MORROSON KNB ACHEZI TENA YULE KAMA EMELY TU
SASA UNAPOKUTA MS.AFRICA ANAJUA HESHIMA YA NCHI YAKE ANAJUA HESHIMA YA SOKA LA NCHI YAKE NA VIONGOZI WA CHAMA CHA SOKA
AAWEZI KUFANYAKAZI NA MHUNI KAMA.MORRISON ANAHAKI KABISA
KUENDELEA KUBAKI SIMBA NA MORRISON N KUZALILISHA NCHI YAKE.CHAMA CHA SOKA NA WAPENZI WA SOKA WA S.AFRICA KWA UJUMLA
ALICHOFANYA BOSS N KULINDA MAADILI SIMPLE NA KUHESHIMU MIIKO YA ADABU
NB
NIWAKUMBUSHE SIMBA MTAKUMBUKA SIKUYA JANA NANKUIJUTIA HUKO MBELENI STY TUNED
ELA NDIYO NINI?
Subiri kesho uone nguvu za simbaMo amepanic [emoji1787]
Sijui sherehe ya Morrison imeishia wapi!
Huyu nae tangu wale majamaa wakae nae wiki kadhaa gheto akili zake kama Lip.mba
Kwa fedha gani zilizopo manyani fc?Kesho ni zamu ya kumsainisha Mwamed na Manara
Huyu nae tangu wale majamaa wakae nae wiki kadhaa gheto akili zake kama Lip.mba
Details hazina msaada wowote kama mpinzani wako kakuzidi level.Yanga watakuwa wamepata mtu makini sana kuelekea kwenye mabadiliko atawasaidia sana na anazo details muhimu sana walizo pitia watani wao Simba.
Kama ana homa inayomfanya ahisi baridi unafikiri kiyoyozi kitakua kitakua na msaada gani kwake wakati hali ya ugonjwa inamshurutisha awe opposite na hali ya halisi?Acha kuingilia maisha ya watu.. Huko alikotoka ndo kuna majuto..
Umeona wapi mtu anaacha kiyoyozi akakimbilia moto mkali unaounguza..
Karibu yanga Afisa mpya
Kinachomfanya shaolin awe anapiga kungfu sio yale magolole ya ki-monk anayo vaaAkuanzae mmalizie kabisa, kuna tetesi muda huu Instagram kuwa na Chama anamfuata CEO muda mfupi ujao