Senzo: Soka la Tanzania nimejifunza kufanya kazi mazingira hayakuruhusu kuwa huru 100%

Hivi vilabu viwili siku zote wanataka matokeo mazuri ,usilete uprofeshno wakati unafeli ,watu wanaona wachezaji wabovu ,kocha mbovu lazima upate presha toka nje ,halafu lazima ushiriki kupata matokeo nje ya uwanja siyo kutegemea tu ujuzi wa mwalimu
 
Umeilewa kauli ya Senzo Mbatha,,,, maana yake kuna muingiliano wa majukumu ndani ya klabu na watu ambao sio waledi kwenye hayo majukumu
 
Hili suala la muingiliano wa siasa na mpira liko deeper zaidi ya tunavyolijadili humu. Na yuko sahihi, tutakuwa tunaenda kwa kujikongoja saana mpaka tulitatue hilo.
 
Kumbe Senzo kashiriki kwenye mkutano mbona hawa vibaka wake wanalalama kuwa hawajaalikwa? Senzo wakati anaondoka alisema yeye atabaki kuwa mwananchi daima, hivyo madai ya viongozi vilaza wa Yanga kuwa hawajaalikwa hayana msingi,ni upuuzi mtupu.
Senzo aliomba kuwa observe ila utopolo walifikiri ni wakubwa wakasubiri mwaliko
 
Angefafanua tu kua Rais wa Yanga alikua akiingilia majukumu ya CEO
 
Huenda yuko sawa ni sio kwa Tanzania tu bali dunia nzima ndio hivyoo







Hatujamalizaaa Hatujamalizaaa, Mlete Mzungu, Mlete Mzunguuu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kakimbia kuburuzwaa hovyo, hataki kupelekeshwaa.

Kawavua nguo.

Byuti byuti
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kakimbia kuburuzwaa hovyo, hataki kupelekeshwaa.

Kawavua nguo.

Byuti byuti
kama alivyomkimbia kolo babra hapo kwa Mwamedi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
kama alivyomkimbia kolo babra hapo kwa Mwamedi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamkimbia topolo takadini kwa gharib, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kamkimbia topolo takadini kwa gharib, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Dada senzo ndo aliletwa na takadini hapa bongo . kaa ukijua hiloπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kitendo cha yeye kuhama kutoka simba kwenda yanga ni zaidi ya siasa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Dada senzo ndo aliletwa na takadini hapa bongo . kaa ukijua hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamkimbia sasa!!!!
 
Achana na mjusi wa bluu mkuu
 
Baada ya Wallace Karia, Kibuyu Kingine Kimelia Kwenye Mkutano Wa CAF.

Kwahivyo hapa anatanabaisha kuwa siasa ndo zimemuweka kando, na si zile bhah bhah za matatizo ya kifamilia Afrika Kusini.
Una akili za kigogo sana.
Cc. Ndugai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…