OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Vyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani simba ni nchiVyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
Mbumbumbu
Mdosi wenu alifanya hivyo karibu mechi zote za Yanga ya Zahera ,na tulinyamaza.O bey hakuna kitu mtapata .Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kama alifanya mlichukua hatua gani zaidi ya kuzusha uongoMdosi wenu alifanya hivyo karibu mechi zote za Yanga ya Zahera ,na tulinyamaza.O bey hakuna kitu mtapata .
Sitaki kuamini habari za kijinga namna hii.Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ni kweli yupo osterbeyVyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
Weka ushahidi hapa tuaminiModerator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ulimwona akiondoka nayo?Senzo atajiju aliondoka na laptop yenye dokumenti za simba akapeleka upande wa pili akajiona mjanja sasa hivi atajua kuwa wale viongozi wa simba wanaoshikwa huwa si kwa bahati mbaya kwani simba ni zaidi ya mafia na akisalimika cv yake ya soka itakuwa ishaharibika
Mashabiki wa simba na wanawake waimba taarabu tofauti ni kuvaa dela tu.Simba iache hizi drama icheze mpira.
Ila Kama kuna ubadhirifu wa pesa hapo sawa.
Alafu manara anasema yanga wanalalamika wakati wao ndio wanaongoza kwa kulalamikaSimba iache hizi drama icheze mpira.
Ila Kama kuna ubadhirifu wa pesa hapo sawa.
Alafu manara anasema yanga wanalalamika wakati wao ndio wanaongoza kwa kulalamika
masuala ya kupanga matokeo na rushwa ni kosa la jinaiKwani simba ni nchi