hii ni Kali, hujuma za mpira lini zikaenda polisi! sasa huko Afrika kaskazin mbona magereza yangejaa kwa hujuma za soka!Vyanzo vyangu vimenipa habari mbichi Senzo Masingiza yupo chini ya ulinzi katika moja kati ya vituo Dar es Salaam akihojiwa kuihujumu Simba Sc.
hujuma za kupanga matokeo?hii ni Kali, hujuma za mpira lini zikaenda polisi! sasa huko Afrika kaskazin mbona magereza yangejaa kwa hujuma za soka!
Watu wote hao ni m1.7 au au M 17Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hujuma ipo lakini sio hii uliyoieleza wachezaji urliwataja kila mmoja anapokea m7 mshahara sio rahisi kulanguliwa kwa m1.7Sitaki kuamini habari za kijinga namna hii.
Yaani karibu timu nzima ya Simba inatajwa kuihujumu timu ya simba!!
Sasa mantiki ya kuihujumu iwe nini?
Yaani Simba ikifungwa na kupwaya kisoka wao watapata faida gani wakati wao wameajiriwa na kulipwa na Simba?
Kwani kina mzee yusuph aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga alichaguliwa nani.na kazibyake ilikuwa niniWashabiki wa simba na wanawake waimba taarabu tofauti ni kuvaa dela tu.
Nimesoma vibaya ama ndivyo ilivyoandikwa! "Mburungutu wa pesa, halafu ni M1.7"!!! Yaan milioni moja na laki saba!??? Tena umewataja wachezaji 3 hapo!! Seriously?Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Na wewe ni Utopolo?Malalamiko FC
2Mbumbumbu
Kama kweli alifanya hivyo mlipaswa kumchukulia hatua za kisheriaMdosi wenu alifanya hivyo karibu mechi zote za Yanga ya Zahera ,na tulinyamaza.O bey hakuna kitu mtapata .
Kama kuna jinai inaonekana wazi unataka iachwe?Simba tunapaswa tubadilike..
Hizi drama hazisaidii timu.
Kama timu ni mbovu ni mbovu tu.
Tusitafute mchawi
Mzee Yusuph ni Mwanamke?Kwani kina mzee yusuph aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya yanga alichaguliwa nani.na kazibyake ilikuwa nini
Yaani mchezaji wa kulipwa anauza mechi kwa laki 5.5?Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Duh..bro you know nothing ...eti hongo Ili wahujumu timu..!? Kuna ushahidi wa miamala ya hizo hongo!?Moderator waliufuta uzi wangu hapa na
Ukweli ni huu
hapa
kwamba Hussein shabalala ,Jonasi mkude, na Aish manula walikula mburungutu wa pesa kama M1.7 wakahusika kuihujumu timu katika zile mechi mbili . kikao Cha menejiment ya Club kilipokaa kutafuta mchawi nani wakakamata mawasiliano ya kwenye Laptop kati ya senzo na Mkurugenzi wa Simba Hashimu mbaga, ikionyesha chatting za WhatsApp kuhusu ile mechi ya Simba na Tz prison . na kuna watu teyari walishaingiziwa pesa kwenye account zao kwa ajili ya kufanya hujuma hizo wakiwemo
Ally Shantry ‘Bob Chico’ Jacob Gamaly pamoja na meneja wa timu Patrick Rweyemamu na kocha wa makipa, Mharami ‘Shilton’ Mohammed.
Ni chein yenye mzunguko mkubwa mpaka sasa hivi Hashimu mbaga anashikiliwa kituo Cha polisi Osterbay
hizi ndizo sababu zilizofanya Uongozi wa kikosi Cha Simba kubadilika mara moja.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Trafiki wanapokea rushwa elfu mbili unashangaa laki tanoYaani mchezaji wa kulipwa anauza mechi kwa laki 5.5?
Hapa tunazungumzia waimba taarabu kama wewe maana maswali yako yamekaa kimipashoMzee Yusuph ni Mwanamke?
mkuu sitakiwa kuwa shahidi wa kina Zimbwe Jr ila tambua kwamba kuna mabosi wanalipwa 4m kwa mwezi na wanakula rushwa ya laki 2 kupitisha malipo au kutoa fevaYaani mchezaji wa kulipwa anauza mechi kwa laki 5.5?
wewe unaijua football?Simba ni nani asifungwe! hawa viongozi wasiyojua mpira ndiyo wanaochafua taswira ya soka letu, Senzo mtu mkubwa sana Afrika, kachafuliwa na ligi yetu imechafuliwa kwa match fixing kutokana na viongozi wachache wa simba wasiokuwa na weledi wa football.