Sepp Blatter hatimaye atangaza kuachia ngazi....


Soma sheria ya FIFA vizuri. Kwenye group match viwanja vinatakiwa vier na uwezo Wa kuchukua wati elfu 40- hadi 60 Ndio.

www.playthegame.org/fileadmin/documents/world_stadium_index_4_fifa_wc.pdf
 


So stupid of you!.....America has no business in football ,they can barely kick a football...they even have some silly name for it(soccer).
This was a war on Russia(2018 world cup) by the AXIS OF EVIL.....and the entire planet knows
I am glad China too will soon give your evil axis some taste of your own medicine.
Africa has lost but we at least know who is the bigger evil btwn the two devils.
 




NI nini iliwazuia kuyashughulikia makampuni hayo yanayokwepa kodi miako zote hizo mia mbili NA ZAIDI?.....na ni kwanini waliruhusu hela za viongozi wafisadi miaka nenda rudi??????????
Hypocritical LIARS!

They must cede control of stuff like sports to Africa/Asia...sio kila kitu wao ndio wawe na say....sio economics/world trade, warfare/weaponry..world politics .....yaani mpaka football...the only stronghold of the poor nations......I fucking hate THE AXIS OF EVIL(US/EU/NATO).
Hii yote is a loss to Africa.....all those investments in sports will no longer come to us because of RACISM......Yes we know how your US/Platini/Europe/UK/UEFA are racists.
Before Blatter we were marginalized in football with no decision making chances or world cup hosting chances and now they are tying the noose again.
SHAME SHAME!! ON AMERICA!!!....Let football like we know it END!!!!!
 
My Pop believes this was a well planned move by the Westerners, had he stepped down b4 the election then Prince Ali woulda won.

Ali anahojiwa live na Amanpour saivi.


Kam ni hivyo kawazidi ujanja,
maana sasa ananafasi ya kuweka kibara wake hata Issaa Ayatoo akigombea atashinda maana yeye anakura nyingi za Africa na asaia
 

Up yours.
 


Iwe russia au Qatar hawewezi kunyanganywa maana kufanya hivyo FIFA itafilisika kutokana na mikataba waliyokwisha saini. Mfano ujenzi wa miundo mbinu kwa Qatar unagharimu karibu $200billion (sawa na Trillion 400 za kitanzania). Tayari wanasheria wamesema ni lazima kwanza waangalie clauses za mikataba hivyo kabla ya kufanya lolote otherwise watajuta maana Qatar na Russia wataipeleka mahakamani FIFA kulipwa hizo gharama kama fidia za kunyangwa uandaaji huo wa mashindano na hapo ndipo utakuwa mwisho wa FIFA.

Victoire BAK
 
Aibu barala africa.na.njaazetu jamaa katuchinjia baharini nahadizake anakuja ....tutasoma naamba
 
WAJE KUCHUNGUZA NA CAF.NA VYAMA VYA AFRICA...eg k...f..t...f
 

Na kumbuka kibri cha Ndolanga!!
 
Hamtaliona kombe la dunia kwenye ardhi ya Africa mpaka yethu atarudi

Nashkuru wew unaelewa vitu flani ambavyo blatter alikua anavisimamia ambavyo haw wahuni wa ulaya na usa hawaezi kudhubutu kufanya....
Nashangaa mijitu humu inaandika vitu kuusu blatter,kumbe iko blind kabisa...
 
Ushahidi upo sio fitna.


leta ushahidi kwamba blatter alihusika moja kwa moja kwe ile scandel....ivi nyie mnafkir ulaya na u.s hawamtak blatter sababu ya scandel tuu bas!!?...
kuna vitu vingi sana nyuma ya pazia ambavyo ni major cause ya hii kitu....
Waingereza ni washenz sana na uyo platini wao.
 

mbona mpaka leo tunapeleka timu 5 tu WC na makelele yote hayo tulokua tunapiga?..iyo bagaining power unayosema iko wapi?.....blatter ana mapunguf yakee skatai but kitu kimoja ambacho kina platin hawakumpenda ni kwamba,he stand for Africa in many aspects...mojawapo ni kuleta WC africa...Platin na uk hawakupend kabisaa..
izo rushwa ni geresha tuu.. Ila siri wanaijua wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…