aione jamal malinziNato wamemng'oa dikteta wa soka hatimaye. Kilio kwa Waafrika.
Hivyo hivyo viwanja vya vilabu,manspaa huwa zinachangia sehemu flani ya ujenzi wakelabda viwanja vya mchangani.
Rais wa FIFA Sepp Blatter amejiuzuru
wadhifa huo siku nne tu baada ya
kuchaguliwa, hii inafuatia kashfa ya
rushwa iliyogunduliwa na CIA
amefanya makubwa hasa ile GOAL PROJECT. wazungu waone kama walivyo wao wanaona kama mpira ni wao hasa kunufaika na mapato.Uingereza anapigania qatar anyanganywe kuandaa mashindano apewe yeye wakati hata viwanja vinavyoweza kujaza watu zaidi ya 50,000 hana vingi. wasasema qatar anapewaje kuandaa mashindano wakati mpira kwao haupo? lakini watu wakauliza marekani alipopewa alikuwa na mpira upi?
Ijumaa alikuwa anaimba nyimbo za 'let's go FIFA..let's go FIFA'.
Jumanne anatangaza kujiuzulu kwake.
Feds wakikukomalia koo huwezi kusalimika hata kidogo.
Big up AG Loretta Lynch and your team.
USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
I've been hearing this talk all day long, but i'm not following. How is Africa the loser in this?Africa has lost but we at least know who is the bigger evil btwn the two devils.
Mkuu usiwe na wasiwasi wanaofuatilia hii kesi ni FBI, anakwenda jela apende asipende, when FBI set their sight on you with evidence you are gone. Time will tell FBI are very strong and behind them the resources required to do the job. Mark my words. Natumaini unaona jinsi FBI wanavyofanya kazi zao kuna series zile za FBI files kama unazikodolea.
FBI huwa hawakurupuki.
BTW kuna very good news, UK pamoja na USA wameamua makampuni yote yanayokwepa kodi Africa watayashughulikia. Na njia za mpunga wa wizi si zinapita kwenye bank zao patamu hapo ..... ....... .
My Pop believes this was a well planned move by the Westerners, had he stepped down b4 the election then Prince Ali woulda won.
Ali anahojiwa live na Amanpour saivi.
Yoyote anaweza kuchukua ila Mwarabu.Kam ni hivyo kawazidi ujanja,
maana sasa ananafasi ya kuweka kibara wake hata Issaa Ayatoo akigombea atashinda maana yeye anakura nyingi za Africa na asaia
So stupid of you!.....America has no business in football ,they can barely kick a football...they even have some silly name for it(soccer).
This was a war on Russia(2018 world cup) by the AXIS OF EVIL.....and the entire planet knows
I am glad China too will soon give your evil axis some taste of your own medicine.
Africa has lost but we at least know who is the bigger evil btwn the two devils.
Blatter toka mwaka 1976 yupo Fifa aisee!!
Mimi sidhani kama Russia inaweza kupokonywa unless labda ushiriki wake katika rushwa ni mkubwa kupindukia.
I mean, ni nani mwingine anayeweza ku host kombe la dunia on short notice zaidi ya Marekani na Uingereza?
Haitaleta picha nzuri duniani kwa Wamarekani kuongoza huu uchunguzi halafu na kuipokonya Russia hiyo fursa na kuyaleta hayo mashindano Marekani. Haitapendeza kabisa.
Ujenzi wa miundomsingi ya Russia 2018 ishaanza na muda uliobaki ni mchache mno.
Maybe Qatar anaweza kupokonywa lakini si Russia aisee.
vitu vingine msiwe mnasingizia, kila kitu afanyacho USA, lazima aonekane ni shida, haya madai ya rushwa fifa hayakuanza leo ni miaka mingi sana, na blatter alikuwa amrifanya fifa kama kampuni binafsi!! akajisahau, watu wamekusanya ushahidi wa kutosha wamemaliza kazi, na hata uenyeji wa kombe la dunia 2018,na 22,lazima tu zitafutwa na sio mambo ya siasa, ila ni rushwa. USA ni baba lao. ukiingia kwenye 18,zao tu umekwisha!!
Hamtaliona kombe la dunia kwenye ardhi ya Africa mpaka yethu atarudi
Ushahidi upo sio fitna.
Hii yote ni kwa sababu UK walikosa ile World Cup ya 2022 aliyopata qatar, Sasa kazi ipo je Qatar atapokonywa?
wanaosema Africa maslahi yetu yamepotea, si kweli, Bado sisi ni wengi sana na kwenye kura za Fifa, tunanafasi kubw aya kubargain na tukapata kilichobora kwa ajili yetu, kama tusipo weka Matumbo mbele.
Wapenda rushwa sio wapenda soka