Sepp Blatter hatimaye atangaza kuachia ngazi....

Sepp Blatter hatimaye atangaza kuachia ngazi....

Platiin awezi shinda Unless ifanyike reform ya Uzito wa Kura, Africa na Asia ina Kura nyingi na hawa ndio vipenzi wa Blater so kwa vyovyote watamuweka Mtu wao atakaye linda maslahi ya Africa na Asia.
Tayari ana kura za ulaya na marekani,tatizo ni Asia,Africa na south America
 
Habari zathibitisha Sepp Blatter Kachia Ngazi Kwa tuhuma za rushwa. Lini viongozi wetu wataiga Hii Mifano
Ndiyo mjue Wazungu wabaguzi, Nia ilikuwepo, lakini kwa kuwa mwarabu tuu Ndiye ilijitokeza Mara ya kwanza, ikabidi asimame , sasa utawaona Wazungu Kibao wanatokeza
 
Technically hajajiuzulu, according to Madrid based AS

"FIFA President Blatter today announced at a
press conference in Zurich that he will lay down
his mandate at an extraordinary elective
Congress. Until that election, he continues to
carry out his functions. The FIFA President also
announced a significant reform programme to
be driven by Domenico Scala, the Independent
Chairman of our Audit and Compliance
Committee. "

Iwe itakavyokuwa, Blatter has left with no option than stepping down kwa sababu ya mashinikizo kutoka kwa sponsors mbalimbali ya kutaka ku-suspend funds zao kwa hofu ya ufisadi. Kwa maana nyingine hata kama angekomaa kuendelea kuwa Rais, asingeweza kutekeleza ahadi zake lukuki za maendeleo kwa wapigakura wake kwa kukosa fedha za udhamini na misada.
 
huyo prince kama ana akili nzuri asigombee tena maana atapatya kura za ajabu. ajue tena wale waliompigia blatter kura hawawezi kumpigia kura. Kura nyingi zinatoka africa, asia na amerika kusini na bara la oceania. Ni lazima mgombea akubalike hapo otherwise hawezi shinda uraisi.
Blatter ndo alipendwa na South america,Africa na Asia,sijui ndo sababu ya hizo hizo Rushwa?
 
Blatter ndo alipendwa na South america,Africa na Asia,sijui ndo sababu ya hizo hizo Rushwa?


amefanya makubwa hasa ile GOAL PROJECT. wazungu waone kama walivyo wao wanaona kama mpira ni wao hasa kunufaika na mapato.Uingereza anapigania qatar anyanganywe kuandaa mashindano apewe yeye wakati hata viwanja vinavyoweza kujaza watu zaidi ya 50,000 hana vingi. wasasema qatar anapewaje kuandaa mashindano wakati mpira kwao haupo? lakini watu wakauliza marekani alipopewa alikuwa na mpira upi?
 
watu tutakuja mkumbuka huyu blater mtasema bora yeye kuliko huyo atakae kuja tuombeni uhai
 
amefanya makubwa hasa ile GOAL PROJECT. wazungu waone kama walivyo wao wanaona kama mpira ni wao hasa kunufaika na mapato.Uingereza anapigania qatar anyanganywe kuandaa mashindano apewe yeye wakati hata viwanja vinavyoweza kujaza watu zaidi ya 50,000 hana vingi. wasasema qatar anapewaje kuandaa mashindano wakati mpira kwao haupo? lakini watu wakauliza marekani alipopewa alikuwa na mpira upi?
Kuandaa kombe la dunia ishakuwa biashara,ila MEANDU kule Qatar na lile joto watachezaje?ila Qatar walitoa Hongo subiri tu utaona kila kitu kitajulikana.
 
Last edited by a moderator:
Chezea wenye akili wewe..mie wazungu nawakubali sana aisee...hawakurupuki mdogo mdogo mpk unaachia mwenyewee...jitu linasadikiwa linatafuna rushwa watu bado tuu wanalipa uongozi haya sasa na wakimaliza huko wanakuja huku kwa huyu fisadi mwenzake Issa Hayatou...
 
Huyu babu hasa sisi mataifa masikin tutamkumbuka alitujali sana hadi mataifa yaliyoendelea walikua hawapendi
 
In a Tuesday press conference, FIFA president Sepp Blatter surprisingly announced that he will resign in the wake of the soccer governing body's corruption scandal.
Blatter was not charged in either of the criminal investigations opened into FIFA activities last week, and subsequently won reelection to a fifth term as president.
Critics have accused Blatter of corruption for years. Earlier Tuesday, it was revealed that authorities believe Blatter's top deputy Jérôme Valcke handled $10 million in bribe money.
In his resignation speech, Blatter admitted no wrongdoing, and says he's resigned for the good of the sport.
FIFA will elect a new president to replace Blatter sometime between December 2015 and March 2016.
 
usa wamelianzisha hili goma ndani yake kuna siasa hususan ishu ya world cup 2018 ambayo ilitarajiwa iwe kwa putin mmarekani hii kitu hataki kusikia sikioni kwake abadan
 
Nah wala sidhani kama ni hivyo bana.

Mbona Winter Olympics Russia wame host kama kawaida tu.

FIFA ufisafi umeshamiri sana chini ya Blatter.

Hivi hukushangaa wala kujiuliza kwa nini vyama vya soka Afrika vyote vilikuwa nyuma ya Blatter?

Na Afrika Kusini tayari washakiri kuwa walitoa dola milioni 10 kuhusu kombe la dunia 2010.
FEDS wakifukunyua wakaona kuwa Russia nae alikata kupewa ya 2018 si itakuwa balaa?.
 
Baada ya kuachia ngazi ni mahakamani siyo iwe kama serikali ya jk wa...
.
 
Wazungu wameamua kumkomoa blatter na blatter katumia akili hayupo tayar kiona anaharibu reputation yake aloijenga ndani ya fifa tangia akianza kama mkurugenzi wa ufundi wa fifa





Bravo blatter umelitendea haki soka ila kuna wachache wanatamani kukiona ur hunted to grave
 
FEDS wakifukunyua wakaona kuwa Russia nae alikata kupewa ya 2018 si itakuwa balaa?.

Labda iwe hivyo....lakini sasa hivi ni Blatter na minions wake.

Halafu nyepesi nyepesi zinadokeza kuwa jamaa wa Feds wanakwambia 'you ain't seen nothing yet'.
 
Kuandaa kombe la dunia ishakuwa biashara,ila MEANDU kule Qatar na lile joto watachezaje?ila Qatar walitoa Hongo subiri tu utaona kila kitu kitajulikana.

qatar wao walikuwa na project ya miaka 10 kabla na lobbying yao ilikuwa ya kufa mtu kutoka kwa monarchy. Uingereza wao walitegemea zaidi media. Blatter alihakikisha angalau kila pembe ya dunia , kombe la dunia linaandaliwa. Lakini watu wanajiuliza kwani members wote wa fifa wakati nchi hizo zinabid hawakuliona hili la joto?
 
Back
Top Bottom