McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
duh na USA wamekomalia watatumia watu wao kumchunguza naona mpaka atoke damu uyu mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
amefanya makubwa hasa ile GOAL PROJECT. wazungu waone kama walivyo wao wanaona kama mpira ni wao hasa kunufaika na mapato.Uingereza anapigania qatar anyanganywe kuandaa mashindano apewe yeye wakati hata viwanja vinavyoweza kujaza watu zaidi ya 50,000 hana vingi. wasasema qatar anapewaje kuandaa mashindano wakati mpira kwao haupo? lakini watu wakauliza marekani alipopewa alikuwa na mpirta upi?
mbona mpaka leo tunapeleka timu 5 tu WC na makelele yote hayo tulokua tunapiga?..iyo bagaining power unayosema iko wapi?.....blatter ana mapunguf yakee skatai but kitu kimoja ambacho kina platin hawakumpenda ni kwamba,he stand for Africa in many aspects...mojawapo ni kuleta WC africa...Platin na uk hawakupend kabisaa..
izo rushwa ni geresha tuu.. Ila siri wanaijua wao.
mkuu toka nmesoma komenti zoote humu...wewe ndo umeongea kitu tofauti na point pia....Ishue mapato fifa ndo chanzo kikubwa cha ulaya kumchukia blatter, hasa kusaidia africa na asua...ishue ya rushwa ni geresha tu
wengi humu wanabwabwaja kisiasa tuu..
Mkuu CIA na FBI ni tofauti.Duh!! CIA ?
So stupid of you!.....America has no business in football ,they can barely kick a football...they even have some silly name for it(soccer).
This was a war on Russia(2018 world cup) by the AXIS OF EVIL.....and the entire planet knows
I am glad China too will soon give your evil axis some taste of your own medicine.
Africa has lost but we at least know who is the bigger evil btwn the two devils.
Wacha porojo wewe unaongea huna facts unabwabwaja tu.
Mkuu CIA na FBI ni tofauti.