Septemba 7, 2017 jaribio la mauji ya Tundu Lissu ilikuwa ni siku mbaya

Septemba 7, 2017 jaribio la mauji ya Tundu Lissu ilikuwa ni siku mbaya

Dr. Magufuli aliugua week moja akafa, Mh. Tundu Lissu alipigwa lisasi nyingi akaumia, akakatwakatwa visu vingi hospitalini, na sehemu za mawili wake zikakatwa kuweka sehemu zingine kufidia nyama zilizoumizwa! Miguu na nyonga vikawekewa vyuma! Na risasi nyingine bado imo mwilini mwake na haiwezi tolewa! Amekuwa kilema! Lakini, mwisho wa yote atakufa (kwa mateso yote hayo na bado)!
Sasa wewe Tafakari hayo mapenzi ya Mungu!
Kafa kibudu. Hakuna hata fursa ya matibabu bora.😅😅
 
Dr. Magufuli aliugua week moja akafa, Mh. Tundu Lissu alipigwa lisasi nyingi akaumia, akakatwakatwa visu vingi hospitalini, na sehemu za mawili wake zikakatwa kuweka sehemu zingine kufidia nyama zilizoumizwa! Miguu na nyonga vikawekewa vyuma! Na risasi nyingine bado imo mwilini mwake na haiwezi tolewa! Amekuwa kilema! Lakini, mwisho wa yote atakufa (kwa mateso yote hayo na bado)!
Sasa wewe Tafakari hayo mapenzi ya Mungu!
Tundu aliumwa huku anapiga self na washkaji, famili na marafiki. Jiwe kafia huko vichochoroni kwa laana zake hata mke wake hakusema Pole mume wangu. Do you see the difference??

Mungu mkubwa ajabu
 
Walaaniwe wote waliohusika na kushabikia tukio hili; wao na vizazi vyao.
 
Tundu aliumwa huku anapiga self na washkaji, famili na marafiki. Jiwe kafia huko vichochoroni kwa laana zake hata mke wake hakusema Pole mume wangu. Do you see the difference??

Mungu mkubwa ajabu
Huyo Lisu msifikri kuwa eti yeye hpo alipo anafuraha mateso yake ni makubwa! Tuendelee kumwombea maana kadri umri unavyoenda mateso ya operation alizofanyiwa yanazid! Tusiwe wepesi wa kuhukumu kila atavuna alichopanda!
 
Dr. Magufuli aliugua week moja akafa, Mh. Tundu Lissu alipigwa lisasi nyingi akaumia, akakatwakatwa visu vingi hospitalini, na sehemu za mawili wake zikakatwa kuweka sehemu zingine kufidia nyama zilizoumizwa! Miguu na nyonga vikawekewa vyuma! Na risasi nyingine bado imo mwilini mwake na haiwezi tolewa! Amekuwa kilema! Lakini, mwisho wa yote atakufa (kwa mateso yote hayo na bado)!
Sasa wewe Tafakari hayo mapenzi ya Mungu!
Wewe unajua namna kifo chako kitakavyokua? Unaweza kufa kwa kupigwa risasi za kwenye tigo yako
 
. Huu ndio mtizamo wa Kikatiba na ndio utamaduni wa Tanzania ya Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa,JK nk. Hatutakiwa kabisa kuruhusu utamaduni mpya wenye ubaguzi, unyanyasaji au kutendeana kama mhalifu. Vitabu vyetu vyote vya sheria vinakataza kabisa shambulio lolote na kwa mujibu wa sheria ya Kanuni ya adhabu cap 6 .(R.E 2002) ni Kosa kubwa kumshambulia mtu yeyote kwa sababu yeyote
MUngu Mkubwa aliamua "kumaliza ugomvi wetu" na yule katili!
 
Back
Top Bottom