11.09 2001 nilikuwa Olevel..pale HighLand Iringa ..nilihisi tukio Dogo na Kama Movie tuu kumbe lilikuwa pigo kwa wamarekani na Hatua mpya na yenye nguvu kupambana na Ugaidi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kwani Sep. 11 ndiyo nini hadi uniulize nilikuwa wapi?
11.09 2001 nilikuwa Olevel..pale HighLand Iringa ..nilihisi tukio Dogo na Kama Movie tuu kumbe lilikuwa pigo kwa wamarekani na Hatua mpya na yenye nguvu kupambana na Ugaidi
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mkuu Davie S. M, Why bothering abt US being in terrosist attack of Sept 11st, while sisi kama Watanzania na Wana Afrika Mashariki Balozi zao NCHINI KWETU ZILILIPULIWA (07.08.1998) na watanzania kupoteza maisha than few Tanzanians in US probably none on WTC that day??
But just to answer your qn, nilikuwa hospitali nikitibu wagonjwa.