September 11 ...Ulikuwa wapi ??

ACHA KUMTISHA MWENZAKO. UNATAKA St. Paka Mweusi akueleweje? anaongea na my new wife we yakuhusu nini maongezi o? FUATA MAMBO YAKO MUME MWENZANGU WA ZAMANI KWA Madame B.

mmmhhhhhhhhhmmmhhhhhhhhhhhhhh
hahahahahahahaha
sitocheza ngoma ya minor:eek2::eek2::eek2::eek2::eek2:
 
nilikuwa nafuatilia moto....ndo kwanza nilikuwa nakaribia ku**ni a.k.a manta.....jamaa walikuwa duniani wakaninyetisha.....hiyo ilikuwa opec.....shimo la nani.....
 
hahaha mkuu jibu swali bhanaa....nikikujibu swali lako utanipiga chenga ya mwili

:biggrin1: enzi hizo nilikua nafanya kazi za shift si unajua unapiga kazi usiku ulala asubuhi....au nikutumie picha uamini!!
 
napajua changa ipo chumbageni

yup...kashule ka watoto wa kihindi, sijui miaka ya karibuni kama bado kana huo utamaduni maana tokea nihame mji wa Tanga ni miaka mingi imepiata
 
yup...kashule ka watoto wa kihindi, sijui miaka ya karibuni kama bado kana huo utamaduni maana tokea nihame mji wa Tanga ni miaka mingi imepiata

sasa hivi haipo hivyo wamepungua wahindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…