Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhusu CC siwashauri watu kuwekeza fedha ambazo wanatarajia ziwasaidie. Kama una fedha ambazo hata ukipoteza hakuna tatizo basi weka huko.Mkuu nini mawazo yako kuhusu uwekezaji kwenye cryptocurrencies kwa sasa na baadaye
Je unaweza kuwashauri watu kuwekeza huko fedha zao
Kwa maoni yangu tatizo la kwanza sio serikali. Serikaliinakuja tu na miswada inayodhani itasaidia kama msimamizi na mtendaji wa mambo mbali mbali katika nchi. Tatizo lipo kwa wawakilishi wetu, yaani wabunge. Wao wana uwezo mkubwa sana wa kutuletea sheria bora na kuhakikisha sheria inakuwa bora kabla hawajaipitisha. Since huu ni mwaka wa uchaguzi tuna nafasi ya kuwahoji wabunge wetu juu ya hili.Halafu mkuu ni kwa namna gani tunaweza kuishauri serikali kuondoa sheria zinazozuia ubunifu mfano sheria inayowataka bloggers &youtubers kulipa $500 ya usajili kila mwaka