Mama Naa
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 453
- 1,104
Amani iwe juu yenu...
Tanzania ilianza mchakato wa sera ya Elimu na mafunzo ya mwaka 2014 toleo la 2023, mwaka 2022. Mpaka sasa Kwa shule za msingi utekelezaji ulishaanza na wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la nne wanaendelea nao.
Kwa shule za sekondari mtaala huo umeanza mwaka huu 2025 Kwa kidato Cha kwanza. Na kidato Cha tano utaendelea mwaka huu 2025 baada ya kusitishwa mwaka Jana.
Sasa yanayoendelea mashuleni Kwa kweli yanasikitisha na kutia uchungu sana.
Yaani serikali mlichokifanya ni kubadilisha vitabu na kupunguza au kuhamisha mada pia kuwaongezea walimu kazi za kuchakata hivyo vitabu vyenu.
Huko shule za msingi hakuna kipya chochote ni mwendo wa content based curriculum sasa huo ufundi, ushonaji, uashi sijui umakenikia uko wapi ????!!!
Sekondari nako hadi sasa vitabu hakuna, business studies, Computer studies, Science subjects and Mathematics HAKUNA WALIMU!!!! I WONDER!!
Hivi mlikuwa na haraka Gani ?? haraka ya kula posho?? au haraka ya kuwahi uchaguzi 2025 ili ndio iwe ajenda yenu!!??
Hivi Mkenda !! zile semina ulizowapa mawaziri, wabunge, viongozi wa dini, wanasiasa,, wakurugenzi na wakuu wa mikoa na wilaya,,...!! Kwa nini hukuzielekeza Kwa WALIMU?? ambao ndio watekelezaji wakubwa wa huo mtaala mpya!
KWALI SISI WAAFRIKA HATUNA AKILI..!
Kuwapa semina wabunge kuwaacha walimu !! ndio janga linaloenda kuiua hiyo sera yenu, HAKUNA KIPYA tuliona 2005, baadae 2010 na 2015 mlipokuja na mambo ya DISTINCTION....
Ndugu watanzania hii sera ni Kwa ajili ya watoto wetu maskini, wakwao wapo FEXA
tuifuatilie na kuipigia kelele Kwa sababu mwisho wa siku ni watoto wetu wanaoumia sio wakwao.
Kwanza wameleta sera iliyoboreshwa na mitaala mipya wakati mpaka sasa Kuna walimu bado wapo CONTENT BASED CURRICULUM hawajafika hata COMPETENCE BASED CURRICULUM.
NI MAJANGA KWA KWELI...
Tanzania ilianza mchakato wa sera ya Elimu na mafunzo ya mwaka 2014 toleo la 2023, mwaka 2022. Mpaka sasa Kwa shule za msingi utekelezaji ulishaanza na wanafunzi wa darasa la kwanza hadi la nne wanaendelea nao.
Kwa shule za sekondari mtaala huo umeanza mwaka huu 2025 Kwa kidato Cha kwanza. Na kidato Cha tano utaendelea mwaka huu 2025 baada ya kusitishwa mwaka Jana.
Sasa yanayoendelea mashuleni Kwa kweli yanasikitisha na kutia uchungu sana.
Yaani serikali mlichokifanya ni kubadilisha vitabu na kupunguza au kuhamisha mada pia kuwaongezea walimu kazi za kuchakata hivyo vitabu vyenu.
Huko shule za msingi hakuna kipya chochote ni mwendo wa content based curriculum sasa huo ufundi, ushonaji, uashi sijui umakenikia uko wapi ????!!!
Sekondari nako hadi sasa vitabu hakuna, business studies, Computer studies, Science subjects and Mathematics HAKUNA WALIMU!!!! I WONDER!!
Hivi mlikuwa na haraka Gani ?? haraka ya kula posho?? au haraka ya kuwahi uchaguzi 2025 ili ndio iwe ajenda yenu!!??
Hivi Mkenda !! zile semina ulizowapa mawaziri, wabunge, viongozi wa dini, wanasiasa,, wakurugenzi na wakuu wa mikoa na wilaya,,...!! Kwa nini hukuzielekeza Kwa WALIMU?? ambao ndio watekelezaji wakubwa wa huo mtaala mpya!
KWALI SISI WAAFRIKA HATUNA AKILI..!
Kuwapa semina wabunge kuwaacha walimu !! ndio janga linaloenda kuiua hiyo sera yenu, HAKUNA KIPYA tuliona 2005, baadae 2010 na 2015 mlipokuja na mambo ya DISTINCTION....
Ndugu watanzania hii sera ni Kwa ajili ya watoto wetu maskini, wakwao wapo FEXA
tuifuatilie na kuipigia kelele Kwa sababu mwisho wa siku ni watoto wetu wanaoumia sio wakwao.
Kwanza wameleta sera iliyoboreshwa na mitaala mipya wakati mpaka sasa Kuna walimu bado wapo CONTENT BASED CURRICULUM hawajafika hata COMPETENCE BASED CURRICULUM.
NI MAJANGA KWA KWELI...