Trueman m
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 362
- 400
Leo umeongea jambo la msingi. Field tofauti na vitabu walivyoleta mashuleni hakuna mabadiliko yoyote mengine.Wewe tu ndio uelewi labda kwasababu ya umri wako, lakini nchi hii inaeleweka, kila waziri wa elimu huwa anakuja na mauza uza yake, na akiondoka anaondoka nayo.
Ulitegemea kuona nini?