Nafikiri mambo yanafanyika taratibu.
Unajua Elimu yenyewe bure, kumaanisha serikali itakuwa inachota pesa sehemu nyingine ili kuendesha sekta ya Elimu.
Kuajiri waalimu wapya wa Masomo kama ya ushonaji, Muziki, Ususi, kufunga Solar n.k ni mchakato ila Ajira zimetolewa ingawaje hazitoshelezi
Kuandaa Majengo na vifaa vya kufundishia Masomo mapya nayo ni kipengele kingine.
Kote huko wanahitaji pesa.
Ni vizuri Wazo lishawekwa Kati, utekelezaji umeanza kidogokidogo.
Mpaka 2027 mambo yatakuwa angalau