Sera iliyoboreshwa na mtaala mpya ni Danganya toto ya kisiasa huko mashuleni hakuna kinachoendelea

Wewe tu ndio uelewi labda kwasababu ya umri wako, lakini nchi hii inaeleweka, kila waziri wa elimu huwa anakuja na mauza uza yake, na akiondoka anaondoka nayo.

Ulitegemea kuona nini?
Leo umeongea jambo la msingi. Field tofauti na vitabu walivyoleta mashuleni hakuna mabadiliko yoyote mengine.
 
Na pia tuelewe kabla ya shule kuwa shule, kwanza inaanza kuwa kituo cha kukusanya na kulea watoto chini ya waangalizi ambao baadae hugeuka kuwa teachers. Bye bye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…