Sera mpya ya Elimu, PPP ya David Kafulila ndani

Sera mpya ya Elimu, PPP ya David Kafulila ndani

YAY

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
362
Reaction score
381
IMG-20250217-WA0123(1).jpg

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

 
View attachment 3239220

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera Mpya ya Elimu Tanzania na kufundishwa mashuleni.

Huko mbele tuendako Rais Samia anaonesha wasiwasi kwa nchi na mataifa mbalimbali kuendelea kuzisaidia Serikali zetu ila kwa kutumia sekta binafsi Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi PPP.

Kwa Sasa kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP huku Rais Samia akiahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi kwa misingi ya PPP.

https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...ya-lazima-kutoka-miaka-saba-kwenda-10-4909648
Namkubali sana mama apewe mitano Kisha mitano mingine
 
View attachment 3239220

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera Mpya ya Elimu Tanzania na kufundishwa mashuleni.

Pia soma https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...ya-lazima-kutoka-miaka-saba-kwenda-10-4909648

Huko mbele tuendako Rais Samia anaonesha wasiwasi kwa nchi na mataifa mbalimbali kuendelea kuzisaidia Serikali zetu ila kwa kutumia sekta binafsi Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi PPP.

Kwa Sasa kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP huku Rais Samia akiahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi kwa misingi ya PPP.
Hii kama ni kweli basi ni nzuri sana
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, Kituo hicho kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

Hili ni jambo jema sana Leo kwa sababu watu hawaifahamu PPP Kafulila anaonekana kama anatumika.
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

Mzee wa promo Kafulila nadhani Kwa Sasa huyu Kafulila ndio namba moja kumpigia debe Samia
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

PPP ilionekana kama kichaka Cha kupiga dili nadhani kama utaanza kufundishwa mashuleni italeta uelewa mpana japo upigaji ni mkubwa hasa kwa Wawekezaji toka nje, PPP imezitia nchi nyingi hasara duniani
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

PPP ndio mkombozi wa dunia
 
PPP itaanza kufundishwa katika level gani ya Elimu?

Mimi ningependekeza walau kuanzia darasa ya sita ambalo ndio darasa la mwisho kwa level ya msingi
 
PPP itaanza kufundishwa katika level gani ya Elimu?

Mimi ningependekeza walau kuanzia darasa ya sita ambalo ndio darasa la mwisho kwa level ya msingi
Huko ni mbali, darasa la nne au la Tano itafaa sana, Hii PPP itawafanya vijana wetu wakue na kuja kuwekeza kwenye nchi yao
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

PPP lazima pia tuiangalie kwa ukaribu Kuna mataifa yanalia kwa hii PPP umakini unahitajika
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

Hapa namuunga mkono huko mbele hakuna mwekezaji ila wabia watakuwepo
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

PPP hata Mwl Nyerere aliitamani ila hii ya Samia Nina mashaka nayo
 

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.

Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.

Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.

Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.

Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.

Hii ni nzuri sana aisee
 
Back
Top Bottom