CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Mashaka gani?PPP hata Mwl Nyerere aliitamani ila hii ya Samia Nina mashaka nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashaka gani?PPP hata Mwl Nyerere aliitamani ila hii ya Samia Nina mashaka nayo
Lazima ampigie promo kwani ndiye aliyemteua wewe kinakuuma nini hapo?Mzee wa promo Kafulila nadhani Kwa Sasa huyu Kafulila ndio namba moja kumpigia debe Samia
Vizuri sana hata hivyo
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.
Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.
Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.
Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.
Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.
Loading…
www.mwananchi.co.tz
PPP Sio lazima primary nashauri ianze secondary
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.
Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.
Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.
Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.
Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.
Loading…
www.mwananchi.co.tz
Vyuo vinafundisha hayaKama PPP haikuwa kwenye mitaala wanaoendesha PPPC Elimu yao wameipatia wapi?
Mimi naomba achaguliwe tena ili mambo yawe vizuri zaidi ya hapaMama Samia kazi anaifanya kweli
Hata hivyo anastahiliMama Samia mitano tena,
Nchi nyingi zilizoendelea kwa Kasi nyuma yake Kuna PPP.
PPP Haina limitations of budgets Cha la msingi ni kwa wasimamizi kuuvaa Uzalendo wa Kweli ili kulisaidia Taifa.
Nashauri mama apewe miaka mitano mingine
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.
Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.
Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.
Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.
Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.
Loading…
www.mwananchi.co.tz
PPP mbona inatrend sana?
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.
Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.
Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.
Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.
Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.
Loading…
www.mwananchi.co.tz
PPP ni mfumo wa kupambana na upigaji kiaina hivi
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.
Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.
Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.
Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.
Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.
Loading…
www.mwananchi.co.tz
Kwa Katiba ipi?Namkubali sana mama apewe mitano Kisha mitano mingine
Nadhani Kuna jambo haliko sawa
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzània Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiizundua Sera mpya ya Elimu ya Taifa hilo amezitaka mamlaka zinahusika kuhakikisha mashirikiano baina ya Serikali na Sekta binafsi PPP yanaingia kwenye Sera hiyo Mpya ya Elimu ili kufundishwa mashuleni.
Huko mbele Taifa la Tanzania na Dunia ziendako Kuna wasiwasi huenda nchi na mataifa mbalimbali tajiri duniani kuendelea kuzisaidia Serikali zetu itakuwa ni jambalo gumu ila itawezekana tu kwa kupitia Sekta binafsi.
Serikali inaweza ikavuna mitaji, teknolojia pamoja na Utaalamu kutoka katika sekta binafsi kwa kutumia PPP alihimiza Rais Samia.
Tumejaribu kupita katika tovuti ya kituo hicho PPPC, kinatarajia kuvuta mitaji na huduma zenye thamani ya $9bn zaidi ya Trilioni 25 za Kitanzania kwa kutumia miradi ya PPP.
Rais Samia aliahidi kwenye hotuba yake ya kumaliza mwaka 2024 kuwa nchi yake kwa mwaka 2025 itatekeleza miradi mingi zaidi kwa misingi ya Ubia na Sekta binafsi toka ndani na nje ya Tanzania.
Loading…
www.mwananchi.co.tz
Sawa afandeMama Samia mitano tena,
Nchi nyingi zilizoendelea kwa Kasi nyuma yake Kuna PPP.
PPP Haina limitations of budgets Cha la msingi ni kwa wasimamizi kuuvaa Uzalendo wa Kweli ili kulisaidia Taifa.