Sera mpya ya Elimu, PPP ya David Kafulila ndani

Vizuri sana hata hivyo
 
PPP Sio lazima primary nashauri ianze secondary
 
Mama Samia mitano tena,
Nchi nyingi zilizoendelea kwa Kasi nyuma yake Kuna PPP.
PPP Haina limitations of budgets Cha la msingi ni kwa wasimamizi kuuvaa Uzalendo wa Kweli ili kulisaidia Taifa.
Hata hivyo anastahili
 
Nashauri mama apewe miaka mitano mingine
 
PPP mbona inatrend sana?
 
PPP ni mfumo wa kupambana na upigaji kiaina hivi
 
Nadhani Kuna jambo haliko sawa
 
Mama Samia mitano tena,
Nchi nyingi zilizoendelea kwa Kasi nyuma yake Kuna PPP.
PPP Haina limitations of budgets Cha la msingi ni kwa wasimamizi kuuvaa Uzalendo wa Kweli ili kulisaidia Taifa.
Sawa afande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…