Truth!Katika sera ambazo wananchi wamezikataa bayana, hii ni mojawapo, tena hii imehakikishwa hata na tume ya warioba. Kati ya failures za CHADEMA, ni hii policy.
Was never and will never be accepted in the near future. Not a campaigning issue at all, ingawa mwaka huu ni obvious wanashindwa.
Mkuu, umeongea madini Sana,Hii Sera imekuwepo muda mrefu sana ndani ya chadema, wakongwe waligundua kuwa haitapokelewa positively na wananchi, hivyo ilikuwa haijitokezi kwa kuwa ingeathiri sana umaarufu na kukubalika kwa chadema. Bahati mbaya chama kimevamiwa na wanaharakati waropokaji wamemwaga kila kitu hazarani. Kifupi sera hii ni mufilisi kabisa na ndiyo itawaharakisha kifo cha chadema kilichotabiriwa, tayari kutoka jana baada ya mgombea wa ccm JPM kuwatahadhalisha watanzania dhidi ya ubaguzi unaoshadadiwa na chadema, watanzania wameachwa na mshituko mkubwa kwamba nchi inaweza kugawanywa vipande vipande kama chadema wataingia ikulu. Kwa heri chadema tulikupenda lakini uzembe wenu umewaponza. Mlionywa kwamba Lissu ni mwanaharakati asiye na staha.
Sisi tunawaomba ccm waendelee kuwaelimisha wananchi wakati huu wa kampeni madhara makubwa ya sera hii, nchi ya DRC na Nigeria ni wahanga wa structure hii ya majimbo. Kuna majimbo tajiri sana na kuna majimbo maskini sana. Kuna msemaji humu kasema, how will chadema be able to distribute evenly the little available resources across the country. Waje pia na FORMULA ya kutushawishi kwamba ugawanaji wa faida ya madini ya kule Geita na Gesi ya Lindi na mtwara faida zake zitawafikiaje watu wa iringa, singida na Dodoma just to mention chache.
TUPE KULE HAYA MACHADEMA, YAANI MNASIKITISHA WASOMI NYIE
Kama hata hilo hulijui, basi unaishi kwenye nchi ya kufikirika.Nani kakwambia wameikataa??? Mbona sie tumeikubali???
Mkuu hawa watu wamezidiwa na ushabiki,Sasa chochote atakachosema Yule Rais wa manyumbu, wao watasapoti na kutafuta namna ya kujifanya kionekane kizuri hata Kama sio. Wanafanya hivyo eti kuikomoa CCM😂😂.Kwahiyo mkuu wala usihangaike na Hawa jamaa.Msanii mmoja, simkumbuki jina, aliwahi kuimba "kumuelimisha chizi utajipa kazi" 🚶Mkuu, hii Sera ni Nzuri Ukiwa katika Jimbo, ama mkoa wenye Resources nyingi na kutoshereza kujiletea maendeleo, swali langu ni kwamba, Kwa kuwa mikoa yenye utajiri wa lasirimali za kutosha huwenda zisifikie hata mikoa 8, hiyo mikoa mingine wataweza kuvumilia umaskini Wao uliopo ktk mikoa Yao ukiwemo mkoa wa Singida anakotokea Raisi wa mitandaoni?
Sera ya majimbo, ni Nzuri Sana mkiwa na eneo kuuubwa la nchi, nchi yetu ni ndogo na inaweza kulinganishwa na Jimbo moja tu la Taxes Maerekani, maana yake Ni kwamba, Jimbo la Taxes, utajiri ulio katika Baadhi ya maeneo yake, huufunika umaskini wa maeneo mengine yasiyokuwa na utajiri wa rasilimali
Je, hapa, mtaigawaje hii nchi ili kwamba, Kwa mikoa hiyo isiyozidi minane iingizwe kwenye hayo majimbo hata yasiyokuwa na kitu ili sasa kuumeza huo umaskini wa mikoa zaidi ya ishirini+
Hata ukasema uigawe kikanda, Naihofia kanda ya Kati, Kwa kuwa mikoa yake ni myeupe na inakuwaga na njaa sana
Hawa nyumbu wa Chadema,hawawezi kukuelewa ndugu yangu.Well Said ..Watanzania Tusijidanganye kuna wa kutuvusha zaidi ya Sisi wenyewe kuungana na kusupport juhudi za dhati za Viongozi wetu kama alivyo Dr.Magufuli
tupe na pointi za kusapotu hoja yakoKatika sera ambazo wananchi wamezikataa bayana, hii ni mojawapo, tena hii imehakikishwa hata na tume ya warioba. Kati ya failures za CHADEMA, ni hii policy.
Was never and will never be accepted in the near future. Not a campaigning issue at all, ingawa mwaka huu ni obvious wanashindwa.
Mkuu, hii Sera ni Nzuri Ukiwa katika Jimbo, ama mkoa wenye Resources nyingi na kutoshereza kujiletea maendeleo, swali langu ni kwamba, Kwa kuwa mikoa yenye utajiri wa lasirimali za kutosha huwenda zisifikie hata mikoa 8, hiyo mikoa mingine wataweza kuvumilia umaskini Wao uliopo ktk mikoa Yao ukiwemo mkoa wa Singida anakotokea Raisi wa mitandaoni?
Sera ya majimbo, ni Nzuri Sana mkiwa na eneo kuuubwa la nchi, nchi yetu ni ndogo na inaweza kulinganishwa na Jimbo moja tu la Taxes Maerekani, maana yake Ni kwamba, Jimbo la Taxes, utajiri ulio katika Baadhi ya maeneo yake, huufunika umaskini wa maeneo mengine yasiyokuwa na utajiri wa rasilimali
Je, hapa, mtaigawaje hii nchi ili kwamba, Kwa mikoa hiyo isiyozidi minane iingizwe kwenye hayo majimbo hata yasiyokuwa na kitu ili sasa kuumeza huo umaskini wa mikoa zaidi ya ishirini+
Hata ukasema uigawe kikanda, Naihofia kanda ya Kati, Kwa kuwa mikoa yake ni myeupe na inakuwaga na njaa sana
[/QUSi lazima mapato yote yarudishwe hapo ila aslimja 75 iachwe eneo husika likachangie serikali juu ili wao wagawe kulingana na hitaji la dhati la eneo fulani na kwa vigezo maalumu ama hakika sera ya majimbo ndio Njia pekee ya kurahisisha maendeleo kwa sasa
nxaNdoto za Asubuhi....Kenya wameishia kutengeneza Matabaka ya walionacho na wasionacho
Oh! Kumbe ndio maana unashabikia sera za majimbo.Sana, Yaani Lisu mmoja ni sawa na CCM wote nchi nzima. We hushangai wote wanajibu hoja za Lisu tu ndo ujue amewazidi sana kwa akili
Na kwa kuongeza tu. Mara nyingi unapokuwa na serekali za majimbo, serekali kuu inakuwa na baeaza dogo la mawaziri. Wanaweza wasizidi sita. Waziri mkuu, Mambo ya ndani, nje, Ulinzi, pesa na Afya.
Hawa mawaziri wa vijana na michezo, waziri wa kilimo na mifugo ni mizigo tu ndani ya serekali. Eti waziri wa uvuvi! We unakuta kuna kuna mkoa kuna bwana smaki lakini huo mkoa hauna hata mto.
Unakutankama dar kuna bwana nyuki. Dsm kuna wafuga nyuki?
Kuwe na watendaji tu. Kwa kila kanda kulingana na mahitaji.
Badala ya kuwa na utitiri wa madiwani kila kanda inakuwa na bunge lao dogo ambalo kazi yake ni kupitisha badget ya jimbo husika.
Kwa kifupi hii sera inapaswa kuelekezwa kwa wananchi kwa kuwatumia kina Mnyika na watunga sera wa chama.
Nimalize kwa kumwombea kura Mheshimiwa Lissu.
Unazungumzia wananchi wapi? Labda wewe na jiweKatika sera ambazo wananchi wamezikataa bayana, hii ni mojawapo, tena hii imehakikishwa hata na tume ya warioba. Kati ya failures za CHADEMA, ni hii policy.
Was never and will never be accepted in the near future. Not a campaigning issue at all, ingawa mwaka huu ni obvious wanashindwa.
Sasa unayejua uko wapi mchango wako mkuu, Ujue Kwa mchango wako wewe, unanisaidia kuelewa na wengine pia
Majimbo ndo kila kitu
Ndo namwambia labda wameukataa yeye na jiwe lakeNani kakwambia wameikataa??? Mbona sie tumeikubali???
Hii nakataa mkuu singida Wana rasimali nyingi tu
Umeongea utumboHii Sera imekuwepo muda mrefu sana ndani ya chadema, wakongwe waligundua kuwa haitapokelewa positively na wananchi, hivyo ilikuwa haijitokezi kwa kuwa ingeathiri sana umaarufu na kukubalika kwa chadema. Bahati mbaya chama kimevamiwa na wanaharakati waropokaji wamemwaga kila kitu hazarani. Kifupi sera hii ni mufilisi kabisa na ndiyo itawaharakisha kifo cha chadema kilichotabiriwa, tayari kutoka jana baada ya mgombea wa ccm JPM kuwatahadhalisha watanzania dhidi ya ubaguzi unaoshadadiwa na chadema, watanzania wameachwa na mshituko mkubwa kwamba nchi inaweza kugawanywa vipande vipande kama chadema wataingia ikulu. Kwa heri chadema tulikupenda lakini uzembe wenu umewaponza. Mlionywa kwamba Lissu ni mwanaharakati asiye na staha.
Sisi tunawaomba ccm waendelee kuwaelimisha wananchi wakati huu wa kampeni madhara makubwa ya sera hii, nchi ya DRC na Nigeria ni wahanga wa structure hii ya majimbo. Kuna majimbo tajiri sana na kuna majimbo maskini sana. Kuna msemaji humu kasema, how will chadema be able to distribute evenly the little available resources across the country. Waje pia na FORMULA ya kutushawishi kwamba ugawanaji wa faida ya madini ya kule Geita na Gesi ya Lindi na mtwara faida zake zitawafikiaje watu wa iringa, singida na Dodoma just to mention chache.
TUPE KULE HAYA MACHADEMA, YAANI MNASIKITISHA WASOMI NYIE
Well Said ..Watanzania Tusijidanganye kuna wa kutuvusha zaidi ya Sisi wenyewe kuungana na kusupport juhudi za dhati za Viongozi wetu kama alivyo Dr.Magufuli