frenk julius
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 377
- 242
Taarfa ya mwaka ga hiyo kama niyanyuma sawa, lakn taarifa zilizopo saiv Tanzania ipo uchumi wa kat na nimiongoni mwa nch zinazokuwa uchumi wake kwa kasNa ndo haohao waliosema umasikini umeongezeka kwa watanzania kuliko ilivyokuwa mwaka 2015 kurudi nyuma
Ya mwaka huuTaarfa ya mwaka ga hiyo kama niyanyuma sawa, lakn taarifa zilizopo saiv Tanzania ipo uchumi wa kat na nimiongoni mwa nch zinazokuwa uchumi wake kwa kas
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
We unajishtukia ni muoga unavoonekana,kama ndo ubongo wako uko hivo unawaza id za kimkakati ni zp na unazihesabu pia bac una kazi kubwa ya kufanya ndugu,wanasiasa wamekufanya nini sijui,tunashukuru mungu wengnine hatujaaribiwa na politicians kihivyo kama ulivyo wewe unaonekana ni mzee wa negative tuJibu na ukweli ndo huo! Wenyeji humu hatuzubaishwagi na hizo Id zenu za kimkakati
Ni vizuri ukajibu hayo maswali yangu kuliko kuendelea kupiga tantalilaKote duniani sera ya majimbo inapofanya kazi
Yaani wanabaguana sana Mfano mzuri ni ubeligiji
Asante mkakati maalumu 😂😂We unajishtukia ni muoga unavoonekana,kama ndo ubongo wako uko hivo unawaza id za kimkakati ni zp na unazihesabu pia bac una kazi kubwa ya kufanya ndugu,wanasiasa wamekufanya nini sijui,tunashukuru mungu wengnine hatujaaribiwa na politicians kihivyo kama ulivyo wewe unaonekana ni mzee wa negative tu
Swali gani ambalo hujajibiwa
Fafanua!!Nimekujibu ni ubeligiji, Canada, Nigeria nk
Sawa kama ndo mnafundishwa hivyo na wanasiasa,kumbe nimethibitisha msemo wa waswahili"umdhaniaye site kumbe ndiye"wengine unadhani wa maana kumbe nao holaAsante mkakati maalumu 😂😂
Soma vizur kilichoandikwa humo.. Wacha kupotosha umma,,
Nimepotosha niniSoma vizur kilichoandikwa humo.. Wacha kupotosha umma,,
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Ni wananchi, ndio washauri hata hivyo sisi wananchi tunahitaji mdahalo wa wagombea uraisiChadema mshauri wenu wa chama ni nani Mbona aliwaingiza choo cha kike
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sasa Kama Hana hadhi ya uraisi unampinga wa niniRais Magufuli anaweza kufanya mdahalo na lipumba Kwasababu anahadhi ya Urais
Sio yule msaliti wa Nchi, ni kumuaibisha Rais Magufuli kukaa meza moja na msaliti wa Nchi
mwanaume akitaka kuoa au akioa mke wa pili mke mkubwa lazma amseme mke mdogo kuwa mchawi katumwa na maadui kwao wana vichaa nk nk kila neno baya. Utawala wa majimbo ndiyo demokrasia kamili. Hii ya kuletewa mtawala DC au RC ambaye hata hajapigiwa kura na wananchi ni ukoloni, lazima tuongozwe na viongozi tuliowachagua siyo wanaopata uongozi kama zawadi au kifuta machozi baada ya kukosa ubunge,wanawajibika kwa aliyewapa zawadi ya Udc au uRC, mbunge tuamchagua hana mamlaka yeyote,ndiyo maana hatuendeleiWakuu ukiacha usaliti wa Nchi na kutumika na Mabeberu
Chadema imejizika yenyewe kwa kuleta sera ya kujitawala kimajimbo ndani ya Tanzania
Kwa wale Watanzania ambao hawajaipitia hii sera ya Chadema
Ni kwamba kama wewe unatokana Kilimanjaro hurusiwi kwenda kagera hadi uende uhamiaji ni kama vile unahama Nchi
Lazima uwe na documents zote zile zinatohitajika ili kuhama Nchi
Kama Wewe unatoka mbeya hurusiwi kwenda Dar es salam hadi uende ofisi za uhamiaji za jimbo husika, gavana akikataa kukupatia kibali basi tena hutoki ndani ya jimbo
Swala la ajira:
kama wewe umezaliwa Dodoma hurusiwi kuajiriwa nje ya jimbo ulilozaliwa,yaani kama kuna nafasi za ajira morogoro wewe mtu wa Dodoma hurusiwi kusogeza pua
Pia kiuchumi Mfano kama wewe unatoka singida mashariki ambako hali ya kiuchumi ni duni sana hurusiwi kwenda Moshi kwa ajili ya kutafuta fursa za kiuchumi hadi uwe na passport ya kusafiria kama unavyoenda Africa kusini
Tunajua Tanzania wachaga wametapakaa kila kona ya Nchi wakijitafutia riziki ila Chadema wanataka kila mtu afanye biashara alikozaliwa, hii inamaana kuwa watu wa Kilimanjaro wote watatakiwa kurudi kwao endapo Chadema itashinda Uchaguzi
Marafiki zangu wa Kilimanjaro wanaofanya biashara Dar es salam wametokea kuchukizwa sana na sera hii ya Chadema na kusema wamejitakia kifo kwa chama chao na wameapa kutoipigia kura Ccm
Mtazamo wangu sera za majimbo zinazopigiwa upatu na Chadema zitaleta udini na ukabila na matabaka kama ilivyo Nigeria
Tunaishukuru Ccm kwa kupigania umoja wa Watanzania, wanaotaka kutugawa kamwe hawataweza, wale waliowatuma watugawe ili iwe rahisi kupora raslimali zetu hawataweza kamwe
Kwa heri Chadema, October bungeni tunataka chama cha siasa cha upinzani cha kizalendo na sio hao wanaopigania kuwamilikisha Wazungu raslimali zetu
Kwanza hawana pa kuyafanyia hayo maana October 28 wanashindwaWaache hayo mambo yao maana mimi nishaanza ujenzi chato[emoji16]
Kumbuka ss hatujaadhilika na colonaNimepotosha nini
Sijasahau ndugu nasubiria majibu yangu kwenye maswali niliyokuuliza!!Umeelewa kilichoandikwa au ulikimbia shule
Sasa kama una amini taarifa za world bank kwa nini usiamini na hii??!
Basi sisi tunamtaka huyu msaliti kwenu ninyi mnaouza Mali zetu ,.mnao fanya matumizi yasiyo kwenye bajeti , wenye double standard, mnaoua watu wanaompinga takakaka wenuKwenye kundi la mamba' kenge hakosekani tunampinga ili Nchi yetu iwe salama kutoka kwa msaliti wa Nchi