Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Kabla ya Lisu kurejea mlikuwa na huo umoja?Mbona kigwangala alipopata ajali watu wakamuonea huruma punda badala ya binadamu?Lissu alikuwepo?Anayetugawa ni lissu anayelipwa mabilion na Mabeberu ili awasaidie kuiba raslimali zetu
Ujinga bakini nao huko huko lumumba,hapa JF kuna watu wanajitambua!Hizi propaganda mfu zilishapuuzwa!Mimi sikumwambia lissu aisaliti Nchi, apambane na laana zake
Kuna ule mkutano wao wa kwanza kabisa mlimani city waliimba wimbo wa taifa wakaongezea maneno yaoHawaamini amini jinsi Corona ilivyopotea tz
Walitamami iendelee kututesa
Hii ya remix ya wimbo ipoje??
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]Kuna ule mkutano wao wa kwanza kabisa mlimani city waliimba wimbo wa taifa wakaongezea maneno yao
South Africa vifo ni kitu kingine ni xhenophobia,which is totally another concept...wewe ni kichaa.Huoni Kenya yanavyouana km kuku kwa sababu ya ugatuzi
Huoni South Africa ubaguzi unavyoitafuna Nchi yao, majimbo yenye umasikini yamezidi kuwa maskini zaidi
Huoni india udini unavyoangamiza taifa sababu ya majimbo, Waislamu na wahinndu wanauana km kondoo
Unataka nisema kuhusu USA ? Majimbo ya watu weusi yanabaguliwa kielimu kiafya nk
Nyie chadema mkiitwa hamjitambui mtakataa? Yaani mpo mpo
Nyie kikundi cha wahuni hiyo sera itaishia vyumbani mwenu tu tu
Ulichosema kuhusu xhezophobia South Africa ni uongo...majimbo sio xhezophobia...hujui definition ya xhezonophobia?Shame on youAfrica kusini, xenophobia imeasababishwa na utawala wa kimajimbo, ubaguzi wa kabila unawaangamiza
Kenya ni mafukara na ufukara umesababishwa na sera za majimbo
Ukabila umetamalaki kenya yanauana kama Kuku
Sera za majimbo za Chadema ukisoma utatoa machozi zimelenga kutubagua kwa kabila na dini zetu
Hawatafanikiwa Tanzania
Kwa iyo Tanzania tumeizidi Kenya??Kenya ni mafukara yanakula uchafu, usiufananishe Tanzania Nchi ambayo imejitoshelesha ukalinganisha na mafukara ya kenya
Africa kusini wamekwama Kwasababu ya sera ya majimbo, ubaguzi umetopea
Watanzania wamekataa hiyo sera kwani imeletwa na lissu kutoka ubeligiji kuja kuwagawa Watanzania na kutuletea vita
Aisee..Kenya ni mafukara yanakula uchafu, usiufananishe Tanzania Nchi ambayo imejitoshelesha ukalinganisha na mafukara ya kenya
Africa kusini wamekwama Kwasababu ya sera ya majimbo, ubaguzi umetopea
Watanzania wamekataa hiyo sera kwani imeletwa na lissu kutoka ubeligiji kuja kuwagawa Watanzania na kutuletea vita
Kweli wewe Bia!! ππππUnauliza maiti mochwari?
Anaempinga Magufuli na serikali yake ya CCM ni msaliti wa NCHI?Niliyechanganikiwa ni Mimi au msaliti wa Nchi ?[emoji4]
Unaweza weka ushahidi hapa?Lissu alikuwa anahongwa mabilion na Mabeberu ili awatetee bungeni kutuibia rasmali zetu
Usaliti ni laana
πππDuh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji134]
Si ajabu wanataka kubadilisha hadi wimbo maana walishazoea kupinga kila kitu
HayaHatuna kazi zaidi ya kumhurumia tu lissu
Tunamhurumia kama Mtanzania mwenzetu ila sio kumpatia kura[emoji3][emoji3]
Kuanzia November ndio Rais wakoHatuna kazi zaidi ya kumhurumia tu lissu
Tunamhurumia kama Mtanzania mwenzetu ila sio kumpatia kura[emoji3][emoji3]
Hiyo ni ile iliyokuwa inaitwa bia bingwaHiyo bia yenu ni bia gani?
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini
Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati
Naamini miaka mitano ijayo Rais Magufuli ataitupeleka uchumi wa juu
Nyie mnaotaka kuleta ukabila na udini kupitia majimbo hamieni ubeligiji
Hawa mataga wajinga kwel...uelewa mdg afu wanataka kupotosha watu wenye akili zao ..,.ilani ya chadema ni suluhisho la umasikin tz just in few years..mfumo mpya taonesha matunda haraka kuliko miaka 60 ya ccmHii hapa ishu ya majimbo. Isome vizuri uelewe. Maelezo ya post yako umechukua kwenye ilani ya ccmView attachment 1590438
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Ni vizuri ungetumia muda huu kujiuliza Kwa nini Wazanzibar walikuwa wanaondoka uwanjani leo wakati Magufuli wenu anahutubia kuliko kupiga propaganda uchwara kwenye Sera bora za CHADEMA ambazo watanzania wengi kwa pamoja tumezikubali na kuzipitisha!!