Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Mkuu rejea kwenye msingi wa vyuo vikuu. Kazi ya vyuo vikuu sio kuandaa practioners bali critical thinkers! Haya ya practical yako vyuo vya kati.
mkuu mwisho wa siku elimu inatakiwa kuendana na mahitaji ya soko husika na hapa ndipo alipolenga mleta mada
kada kama za biashara haziitaji tu mtu ambaye ni critical thinker ila anaeweza pia kuwa impactful kwa area yake,
na hiyo impact kwa kiasi kikubwa itachangiwa na experience ya mtoa elimu kwanza
Not necessary awe amekaa ofisini lakini at least awe familiar na vitu vinavyoendelea katika field yake kupitia work shops, "Research" , practice binafsi au hata online course
sasa kama lecturer hafit zaidi ya kukaririsha watu notes bhasi hakuna haja ya kulalamikia graduates kuwa weupe kichwani wakikabidhiwa maeneo ya kazi