Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Sasa hivi kuna sera zisizo rasmi za kuwabeba ati watu "masikini".
Nawawekea mfungo hao "masikini" maana hata definition yao katika jamii hawajulinani.
Humo kuna mama lishe, machinga na wengine wengi.
Kundi hili kwa sasa, hasa jiji la DSM, limeendekeza uchafuzi wa mazingira mkubwa sana.
Tatizo la hao "masikini" wamepewa open cheque ya kufanya lolote wanalotaka Jijini.
Wanaweza fungua biashara popote
Wanaweza kwenda haja popote
Wanaziba mitaro ya maji ya mvua
Hawazoi taka zao
Hawalipi kodi yoyote
Hawataki kudhibitiwa kwa aina yoyote ile kiutaratibu.
Walijengewa Machinga Complex kule Ilala lakini wako wanang'ang'ania barabarani
Kiujumla hawa "masikini" wanaweza kuwa mtaji wa kisiasa lakini ni kero kubwa kwa watendaji Jijini.
Hili sasa limesha kuwa tatizo la kisiasa.
MFANO HAI: MBEZI LUIS JANA
Gazeti la Guardian na Nipashe leo 2/03/2021
Kituo kipya ha mabasi ya kwenda mikoani.