OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ziko nyingi tu. Hiyo hapo juu ni mfano. Nafikiri Magufuli ana mengi sana ya kuzungumza yale aliyoyafanya kwa miaka mitano.
Hizi kauli anazotoa sio hadhi yake kama rais. Kama ana tatizo la kujieleza basi sawaaaa