Maajabu kweli kweli bora angesema anataka tanzania iwe kama Zimbabwe hapo sawa.Eti magufuli anatuambia “nataka Tanzania iwe kama ulaya”? Yaani unataka Tanzania iwe kama kwa mabeberu au Watanzania wenyewe wawe mabeberu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maajabu kweli kweli bora angesema anataka tanzania iwe kama Zimbabwe hapo sawa.Eti magufuli anatuambia “nataka Tanzania iwe kama ulaya”? Yaani unataka Tanzania iwe kama kwa mabeberu au Watanzania wenyewe wawe mabeberu?
Sasa wewe humu unafata nini na kauli hizo hizo unazifatilia mpaka una comment.Mkuu mkitaka mpoteze muda wenu fatilieni hizo kauli za wanasiasa wakati huu mtapagawa tu!.. tumieni nguvu kubwa kuelewa mambo madogo mtaujutia muda wenu bure.. mwisho wasiku ndo kama mnavyoambiwa kuna maisha baada ya uchaguzi!.. na wanakomaza misuli wakomaze tu lkn but wajue wanamaliza nguvu zao bure kabisa.. watu na mielimu Yao wanashindwa kuelewa kauli za namna hizo si kitu wanashindwa hata na watu waliovijijini huko wanajilimia tu hawana time na kauli za watu!!..
Mchague Lissu atajayetoa wigo wa wewe kijadili nini unataka kama mwananchi. Wengine hapo wameshapanga kwenda kubadili katiba watawale miaka 100.Shida yangu kwa Mgombea Lissu ni MUUNGANO;
Shida yangu kwa Mgombea Membe ni MUUNGANO;
Shida yangu kwa Mgombea Magufuli ni KATIBA MPYA na masuala mengine ambayo yamekosa majibu kama shambulizi la Lissu;
NIMCHAGUE NANI? Sitaki niache kuitumia HAKI yangu hii.
Wewe na muungano wapi na wapi? Sawa na Bwege anawauliza watu wa Lindi kuwa wao na ndege wapi na wapi?Shida yangu kwa Mgombea Lissu ni MUUNGANO;
Shida yangu kwa Mgombea Membe ni MUUNGANO;
Shida yangu kwa Mgombea Magufuli ni KATIBA MPYA na m gasuala mengine ambayo yamekosa majibu kama shambulizi la Lissu;
NIMCHAGUE NANI? Sitaki niache kuitumia HAKI yangu hii.
Ni aibu kubwa sana !
View attachment 1556947
View attachment 1556958
Ziko nyingi tu. Hiyo hapo juu ni mfano. Nafikiri Magufuli ana mengi sana ya kuzungumza yale aliyoyafanya kwa miaka mitano.
Hizi kauli anazotoa sio hadhi yake kama rais. Kama ana tatizo la kujieleza basi sawaaaa