LGE2024 Sera za Wagombea uongozi wa CCM zinawasilishwa kwa umahiri, hekima, busara na heshma kubwa sana ukilinganisha na vyama vingine vya siasa

LGE2024 Sera za Wagombea uongozi wa CCM zinawasilishwa kwa umahiri, hekima, busara na heshma kubwa sana ukilinganisha na vyama vingine vya siasa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Vipaumbele vya wagombea uongozi wote wa CCM, vinaelezwa kwa ufasaha, umakini na kwa mpangilio mzuri sana na unaeleweka kirahisi kwa wapiga kura.

Hii imechochea hamasa kubwa mno kwa wapiga kura wengi zaidi, tena wa vyama vyote vya siasa kujitokeza na kuwasikiliza wagombea vijana wasomi wa CCM, wanavynadi ilani na kufafanua sera na mipango yao ya maendeleo kwa mustakabali wa maeneo ya uongozi wanayoomba.

Kwakua vyama vingine vingi vya siasa inasikitisha sana. Havina ilani, wala havina agenda. Na kwa bahati mbaya sana wameishia kuporomosha dhihaka, kejeli, matusi na kujaribu kujipambanua kwa wananchi jinsi wasivyo wastaarabu na wasivyo na heshima kwa viongozi wa kitaifa nchini. Kwa hakika watapata kura sifuri.

Ni furaha kubwa kwa wananchi wazalendo nchi nzima, kuanza kuwapuuza na kukwepa kuhudhuria mikutano yao na kusikiliza matusi yao.

Soma Pia: Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Uamuzi wa CCM kupendekeza na kuwapa fursa vijana wahitimu wa vyuo vikuu, kama ndiyo wagombea uongozi wake, kwa sehemu kubwa nchini, imeamsha ari mpya ya kazi na siasa, Lakini pia kumebadili kabisa taswira na uelekeo wa siasa za Tanzania na kuchochea hamasa na pumzi mpya, kwa ustawi wa demokrasia bora zaidi, ndani ya CCM na Taifa kwa ujumla.

Imani ya waTanzania wote kwa CCM ni thabiti. Na ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika na ni Lazima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Vipaumbele vya wagombea uongozi wote wa CCM, vinaelezwa kwa ufasaha, umakini na kwa mpangilio mzuri sana na unaeleweka kirahisi kwa wapiga kura.

Hii imechochea hamasa kubwa mno kwa wapiga kura wengi zaidi, tena wa vyama vyote vya siasa kujitokeza na kuwasikiliza wagombea vijana wasomi wa CCM, wanavynadi ilani na kufafanua sera na mipango yao ya maendeleo kwa mustakabali wa maeneo ya uongozi wanayoomba.

Kwakua vyama vingine vingi vya siasa inasikitisha sana. Havina ilani, wala havina agenda. Na kwa bahati mbaya sana wameishia kuporomosha dhihaka, kejeli, matusi na kujaribu kujipambanua kwa wananchi jinsi wasivyo wastaarabu na wasivyo na heshima kwa viongozi wa kitaifa nchini. Kwa hakika watapata kura sifuri.
Ni furaha kubwa kwa wananchi wazalendo nchi nzima, kuanza kuwapuuza na kukwepa kuhudhuria mikutano yao na kusikiliza matusi yao..

Uamuzi wa CCM kupendekeza na kuwapa fursa vijana wahitimu wa vyuo vikuu, kama ndiyo wagombea uongozi wake, kwa sehemu kubwa nchini, imeamsha ari mpya ya kazi na siasa, Lakini pia kumebadili kabisa taswira na uelekeo wa siasa za Tanzania na kuchochea hamasa na pumzi mpya, kwa ustawi wa demokrasia bora zaidi, ndani ya CCM na Taifa kwa ujumla.

Imani ya waTanzania wote kwa CCM ni thabiti. Na ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika na ni Lazima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
TUMEJIPANGA COMRADE, CCM NJIA NYEUPE, MITAA YOTE YETU. CCM DAIMA , CCM MILELE, CCM IKO MIOYONI MWA WATU. CCM OYEEEEEEEE
 
Yet mnaiba kura mnachakachua majina ya watanzania kwamba wamejiandikisha kumbe mmepika majina mnateka mna intimidate wapinzani mnawakata majina yao na kuwawekea vipingamizi vyenye nia ovu polisi wanawapa threat mikutano yao inazuiliwa mnatumia pesa na rushwa na hujuma kibao sasa kama nyie ni wabora kwa kiasi hicho hujuma za nini kwa chadema?
 
Yet mnaiba kura mnachakachua majina ya watanzania kwamba wamejiandikisha kumbe mmepika majina mnateka mna intimidate wapinzani mnawakata majina yao na kuwawekea vipingamizi vyenye nia ovu polisi wanawapa threat mikutano yao inazuiliwa mnatumia pesa na rushwa na hujuma kibao sasa kama nyie ni wabora kwa kiasi hicho hujuma za nini kwa chadema?
kasikilize sera gentleman, achana na kumbwelambwela kwa sababu hizo hizo miaka nenda miaka rudi..

we zuzu ndiyo kila wakati unaibiwa wewe tu, tena unaibiwa kitu ambacho huna mchana kweupe 🤣
 
Vipaumbele vya wagombea uongozi wote wa CCM, vinaelezwa kwa ufasaha, umakini na kwa mpangilio mzuri sana na unaeleweka kirahisi kwa wapiga kura.

Hii imechochea hamasa kubwa mno kwa wapiga kura wengi zaidi, tena wa vyama vyote vya siasa kujitokeza na kuwasikiliza wagombea vijana wasomi wa CCM, wanavynadi ilani na kufafanua sera na mipango yao ya maendeleo kwa mustakabali wa maeneo ya uongozi wanayoomba.

Kwakua vyama vingine vingi vya siasa inasikitisha sana. Havina ilani, wala havina agenda. Na kwa bahati mbaya sana wameishia kuporomosha dhihaka, kejeli, matusi na kujaribu kujipambanua kwa wananchi jinsi wasivyo wastaarabu na wasivyo na heshima kwa viongozi wa kitaifa nchini. Kwa hakika watapata kura sifuri.

Ni furaha kubwa kwa wananchi wazalendo nchi nzima, kuanza kuwapuuza na kukwepa kuhudhuria mikutano yao na kusikiliza matusi yao.

Soma Pia: Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Uamuzi wa CCM kupendekeza na kuwapa fursa vijana wahitimu wa vyuo vikuu, kama ndiyo wagombea uongozi wake, kwa sehemu kubwa nchini, imeamsha ari mpya ya kazi na siasa, Lakini pia kumebadili kabisa taswira na uelekeo wa siasa za Tanzania na kuchochea hamasa na pumzi mpya, kwa ustawi wa demokrasia bora zaidi, ndani ya CCM na Taifa kwa ujumla.

Imani ya waTanzania wote kwa CCM ni thabiti. Na ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika na ni Lazima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
IMG-20241121-WA0053.jpg
 
TUMEJIPANGA COMRADE, CCM NJIA NYEUPE, MITAA YOTE YETU. CCM DAIMA , CCM MILELE, CCM IKO MIOYONI MWA WATU. CCM OYEEEEEEEE
Hooyeeeeeee 🔥

na tunawapiga vizuri mno uchaguzi huu wa Serikali za mitaa, ili tuje kuwapiga vizuri zaidi uchaguzi wa 2025🔥
 
Vipaumbele vya wagombea uongozi wote wa CCM, vinaelezwa kwa ufasaha, umakini na kwa mpangilio mzuri sana na unaeleweka kirahisi kwa wapiga kura.

Hii imechochea hamasa kubwa mno kwa wapiga kura wengi zaidi, tena wa vyama vyote vya siasa kujitokeza na kuwasikiliza wagombea vijana wasomi wa CCM, wanavynadi ilani na kufafanua sera na mipango yao ya maendeleo kwa mustakabali wa maeneo ya uongozi wanayoomba.

Kwakua vyama vingine vingi vya siasa inasikitisha sana. Havina ilani, wala havina agenda. Na kwa bahati mbaya sana wameishia kuporomosha dhihaka, kejeli, matusi na kujaribu kujipambanua kwa wananchi jinsi wasivyo wastaarabu na wasivyo na heshima kwa viongozi wa kitaifa nchini. Kwa hakika watapata kura sifuri.

Ni furaha kubwa kwa wananchi wazalendo nchi nzima, kuanza kuwapuuza na kukwepa kuhudhuria mikutano yao na kusikiliza matusi yao.

Soma Pia: Wapiga kura wengi zaidi Tanzania wana imani kubwa mno na wagombea uongozi wa CCM pekee

Uamuzi wa CCM kupendekeza na kuwapa fursa vijana wahitimu wa vyuo vikuu, kama ndiyo wagombea uongozi wake, kwa sehemu kubwa nchini, imeamsha ari mpya ya kazi na siasa, Lakini pia kumebadili kabisa taswira na uelekeo wa siasa za Tanzania na kuchochea hamasa na pumzi mpya, kwa ustawi wa demokrasia bora zaidi, ndani ya CCM na Taifa kwa ujumla.

Imani ya waTanzania wote kwa CCM ni thabiti. Na ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika na ni Lazima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Sijui mnadhani nani mnae mdanganya hapa futa hiyo unayosema MUNGU ibariki Tanzania.mmebaka kila eneo kwa nguvu na MUNGU anawaona tu,Alafu kiherehere tu kusema MUNGU ibariki Tanzania mkipita kwa mabavu pasipo haki mnasema MUNGU amewapitisha mkimuunganisha na uovu wenu ipo siku mtalia na kusaga meno yenu na hamtamuona wa kuwasaidia acheni tabia ya shingo na moyo mgumu mpate baraka.
 
Sijui mnadhani nani mnae mdanganya hapa futa hiyo unayosema MUNGU ibariki Tanzania.mmebaka kila eneo kwa nguvu na MUNGU anawaona tu,Alafu kiherehere tu kusema MUNGU ibariki Tanzania mkipita kwa mabavu pasipo haki mnasema MUNGU amewapitisha mkimuunganisha na uovu wenu ipo siku mtalia na kusaga meno yenu na hamtamuona wa kuwasaidia acheni tabia ya shingo na moyo mgumu mpate baraka.
so gentleman,
Mungu ni wa kwako pekeyako sio?🤣

na mbona unanifokea sasa?🤣

Kwa Neema na Baraka za Mungu, CCM madhubuti sana, itashinda uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa kishindo kikuu, na hata ule uchaguzi mkuu wa 2025 itashinda vile vile bila mbambamba ya mtu yeyote 🐒,
 
Back
Top Bottom