Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,082
- 2,402
Endeleeni kukimbizana na wanyonge, ila laana itawatafuna na kizazi chenu kinachotafuna jasho la wanyonge, waziri anashindwa kujiekeza, Tatraaaa leo amesema hayo matrilion yaliondolewa kirahisi, Kwanini haya yanakuja baada ya kushindwa kujieleza?
Kama mliunda tume, mkaleta yale yote kwa watanzania, basi mlitakiwa mtueleze tena kua mlifuta madai tena kwa tume kabla ya waziri kushindwa kujieleza na kwenda kupiga chabo
Ila hakika jasho la watanzania wanyonge halitawaacha salama hata kizazi cha tatu na channe huko
Kama mliunda tume, mkaleta yale yote kwa watanzania, basi mlitakiwa mtueleze tena kua mlifuta madai tena kwa tume kabla ya waziri kushindwa kujieleza na kwenda kupiga chabo
Ila hakika jasho la watanzania wanyonge halitawaacha salama hata kizazi cha tatu na channe huko