Serekali yangu pendwa mkulima ni yule aliyepo shambani.

Serekali yangu pendwa mkulima ni yule aliyepo shambani.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Nimestaajqbishwa mno na serekali yetu pendwa kuokota vijana mijini na kuwafundisha kilimo, badala ya kumfuata mkulima shambani na kumuongezea nguvu endapo kama ana ekari 2 muwezesheni afikie kumi, na anayelima ekari kumi muwezesheni alime 30 ekari, lakini kuokota vijana mijini na kuwapeleka shamba hili ni la kulitafakari sana maana kwa upande mwingine kilimo ni hobby aidha tunaweza kusema ni wito, upenzi ndani ya moyo wa mkulima.
 

Attachments

  • FB_IMG_1679744821522.jpg
    FB_IMG_1679744821522.jpg
    62.9 KB · Views: 4
Nimestaajqbishwa mno na serekali yetu pendwa kuokota vijana mijini na kuwafundisha kilimo, badala ya kumfuata mkulima shambani na kumuongezea nguvu endapo kama ana ekari 2 muwezesheni afikie kumi, na anayelima ekari kumi muwezesheni alime 30 ekari, lakini kuokota vijana mijini na kuwapeleka shamba hili ni la kulitafakari sana maana kwa upande mwingine kilimo ni hobby aidha tunaweza kusema ni wito, upenzi ndani ya moyo wa mkulima.

Hakuna sura ya mkulima hapo, kilimo cha kwenye makaratasi
 
Nimestaajqbishwa mno na serekali yetu pendwa kuokota vijana mijini na kuwafundisha kilimo, badala ya kumfuata mkulima shambani na kumuongezea nguvu endapo kama ana ekari 2 muwezesheni afikie kumi, na anayelima ekari kumi muwezesheni alime 30 ekari, lakini kuokota vijana mijini na kuwapeleka shamba hili ni la kulitafakari sana maana kwa upande mwingine kilimo ni hobby aidha tunaweza kusema ni wito, upenzi ndani ya moyo wa mkulima.
Wanapiga siasa tu Hawa wajinga ila muda Huwa haudanganyi.
 
Pigeni kelele siku watu wanatoka maisha kupitia hiyo program hamtaamini. Sijui mlitaka vijana waendelee kudhurula huko mjini? Kwa hili tumpongeze mama samia kwa kuwaondoa vijana kwenye wimbi la umaskini na kupelekea kuongezeka kwa pato la Taifa hapo mbeleni
 
Mimi sioni ubaya katika Hilo, linafaida nyingi na kubwa.
Kubwa ni ajira za vijana walio soma na hawana ajira wakijifunza na kuwezeshwa basi tutapunguza tatizo la ajira.
 
Na watupe updet zao hatua kwa hatua wangapi wamefauli wangapi walifeli na faida ni kiasi gani wangapi wameshindwa kuendelea nk ila wengi tu watafeli na hizo ni siasa tu nimekaa paleee
 
Sidhani kama hao waliokotwa, ni wameomba kiwa sehemu ya program na hao unassma wapo shambani nao wangeomba sio kufuata

PiLI hakuna anayemiliki kilimo kilamtu anaweza kulima
 
Naunga mkono hoja. Kila MTU anaweza kulima akipewa kalamu. Bahati mbaya ni kuwa hatuli maandishi, lazima tuvune mazao halisi na hapo ndipo hawa wakulima was PDF huingia mitini.
Kuna mindset ile kwasababu wewe bushmen Basi kilimo kwaajiri yako na sio wakinondoni ukikomaa na hii mindset utaona wenzio wanachukua kila sector na kutoboa....watu kibao hapa dsm wanakula maisha daily ila Wana mashamba huko bush
 
Pigeni kelele siku watu wanatoka maisha kupitia hiyo program hamtaamini. Sijui mlitaka vijana waendelee kudhurula huko mjini? Kwa hili tumpongeze mama samia kwa kuwaondoa vijana kwenye wimbi la umaskini na kupelekea kuongezeka kwa pato la Taifa hapo mbeleni
...Kuzurula Sio Kudhurula !.... Umakini..!
 
Blue print ile ile ya awamu ya 4, kuanzia kwenye safari za nje kwa kigezo cha mahusiano ya kimataifa na sasa kwenye kilimo...wanasema mvinyo wa zamani ktk chupa mpya...kilimo kwanza ktk sura mpya...hawatuambii kilimo kwanza ilikwama wapi na nn plan za kuzuia changamoto za kilimo kwanza zisijirurudie...au ndo hawajali as long as wanatafuna asali kwa mgongo wa Mkulima...
 
Nimestaajqbishwa mno na serekali yetu pendwa kuokota vijana mijini na kuwafundisha kilimo, badala ya kumfuata mkulima shambani na kumuongezea nguvu endapo kama ana ekari 2 muwezesheni afikie kumi, na anayelima ekari kumi muwezesheni alime 30 ekari, lakini kuokota vijana mijini na kuwapeleka shamba hili ni la kulitafakari sana maana kwa upande mwingine kilimo ni hobby aidha tunaweza kusema ni wito, upenzi ndani ya moyo wa mkulima.
Tulipokosea ni pale tulipoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma.. Matokeo yake ndio haya sasa, badala ya hii ishu ya kilimo kukabidhiwa wataalam wa kilimo wanasiasa wamelikwapua na kuleta haya mafyekele
 
Nimestaajqbishwa mno na serekali yetu pendwa kuokota vijana mijini na kuwafundisha kilimo, badala ya kumfuata mkulima shambani na kumuongezea nguvu endapo kama ana ekari 2 muwezesheni afikie kumi, na anayelima ekari kumi muwezesheni alime 30 ekari, lakini kuokota vijana mijini na kuwapeleka shamba hili ni la kulitafakari sana maana kwa upande mwingine kilimo ni hobby aidha tunaweza kusema ni wito, upenzi ndani ya moyo wa mkulima.
Hao vijana ni watoto wa haohao wakulima na wa tanzania pia.

Lakini hii pia ni program maalum ya vijana hasa wakulima.

Tusibeze juhudi za serikali badala yk tushauri program km hizi ziwe nyingi sana zifike na huko kwa wakulima original.
 
Pigeni kelele siku watu wanatoka maisha kupitia hiyo program hamtaamini. Sijui mlitaka vijana waendelee kudhurula huko mjini? Kwa hili tumpongeze mama samia kwa kuwaondoa vijana kwenye wimbi la umaskini na kupelekea kuongezeka kwa pato la Taifa hapo mbeleni
Mkuu we had record kwa hiki kinachofanyika yalisha undwa makundi mengi yaliyokuwa na hari kubwa miaka iliyopita, labda wewe kijana wa juzi Hufahamu hili, nasisitiza mkulima aliyepo site aongezewe nguvu ili alime mara kumi zaidi ya kilimo anacholima kilimo sio PRACTICAL ndugu kilimo kwanza ukipenda kilimo pia huwa na tabia ya kukataa baadhi ya watu hivyo sio kila mtu anaweza kuwa mkulima, kilimo kina mkono wake, sisi tuliolima kitambo tunafahamu mambo haya.
 
Nchi hii kila kitu bongo movie bongo flavour tu

Badala serikali iwafate wakulima huko mangombole,mnawaokota vijana mijini vijana wa istagram
Ngoja nione hii sinema itaishia wapi

Ova
 
Back
Top Bottom