brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Kataka kuonyesha kumuunga mkuu wa mkoa Paul Makonda , Serena Hotel imetangaza uuzwaji wa vinywaji vyake vyote nusu Bei kesho Kama taifa stars ikishinda mechi muhimu dhidi ya Uganda ili watanzania washerekee
Mechi ya Tanzania vs Uganda itapigwa kesho uwanja wa Taifa saa 12 jioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya Tanzania vs Uganda itapigwa kesho uwanja wa Taifa saa 12 jioni
Sent using Jamii Forums mobile app