Serengeti: Baba afumwa akishiriki ngono na Binti yake wa miaka 11

Serengeti: Baba afumwa akishiriki ngono na Binti yake wa miaka 11

Unaweza kuta mambo ya kishirikina mganga kamwambia afanye hiyo mambo ya mwendee poa.
Mh! Ujinga tu! Mara nyingi gongo inachangia. Unajua pombe Kali huwa zinaondoa fuse za kujielewa. Uswahilini mambo haya yapo sana
Na vitoto vyenyewe vimeijua hela vibaya sana. Vikiona hela tatizo. Vinachoangalia ni pesa, sio mwili wake.
Yaani kwake yeye ni kama unamwambia: "Kanifulie shati hili nitakupa 5,000/="
Nadhani imeeleweka.
 
Haya mambo yapo sana kanda ya ziwa...nilikua naangalia kipindi flan TBC mambo mengi wanamaliza kifamilia...ndo shida inapoanzia
 
Peleka kwa nyampala nayeye "WAKAMMENYE".
 
Haya mambo yapo sana kanda ya ziwa...nilikua naangalia kipindi flan TBC mambo mengi wanamaliza kifamilia...ndo shida inapoanzia
Watanzania tunayamaliza kifamilia siku zote kwa kauli ya kuwa

"hata tukimfunga hakitobadilika chochote maana ya kutokea yashatokea, kheri tukae chini tuyamalize kama familia"

Lakini hatujui tabia haikomi kirahisi, unapomuacha mtu huru ni lazma aendelee na tabia zake mtaani na kuzalisha victims zaidi
 
Hapo anatimiza masharti ya mganga si bure......inasikitisha sana maana amemuharibia binti yake fyucha yake yote,maana litamsumbua maisha yake yote
 
Watu kama hao si ndio mnawaitaga "baharia" sijui!

Maana umeandika kwa kumtukuza huyo firauni kana kwamba amefanya jambo la kishujaa sana!!

Eti "dingi anakula".... ? ni sifa hiyo?

Wewe ni mjinga sana eti! Sijui kama unajua hilo?

I can smell your stupidity from miles away! I can see it between the lines!

Sijui mmekuzwa na kulelewa kwenye mazingira gani ya kutetea walawiti na wanajisi!? inatafakarisha!!
Pambana na stress za maisha yako buda, Mimi sijakuleta duniani. Mimi nina shida zangu ni sikilize za huyo mshua za nini? Ukiamua na wewe chapa wako mi hainihusu
 
Haya mambo yako sana kwenye familia haswa pale baba na mama wanapoachana then mama anambwagia baba watoto ndo visa hivi vyakishetan huanza binafsi mimi nilikua na demu wangu alikua yuko form ,mimi niko form 5 huyu binti alikua bado mbichi na mzuri haswa lakn ukimwangalia tu unamwona ni binti mwenye mawazo kila muda yan hakuwa na raha kama wanafunz wenzake na muda mwingi alikua ana lala sana hata muda wa prepo,tuliendelea na uhusiano tatizo likawa tukirud likizo alikua mzito mimi kumtembelea kwao alikua anasema baba mkali nikaja kugundua baba ni luten kanal na mama pia ni luten kanali lakn mama huyo hakua mama yake mzazi mama yake waliachana tokea akiwa std3 sasa nikafanikiwa kujenga uhusiano na mama yake mdogo ambaye alikua mnywaji mzuri mzuri wa hia kama mimi huyu mama kuna siku akanipigia tukutane saba saba bas nikaenda ndo akanipa full mkanda kuwa huyu mpenz wako anatembea na baba yake na majiran wanasema tokea akiwa std5 sasa yule mama wakufukia akiwadaka ukazuka ugomvi mkubwa sana ikabid baba amtoroshe mwanae akampangie manzese kwahiyo hizi tabia sio za leo wa jana zipo ila nyumba zinaficha mengi na kesi nyingi huishia ndani
 
Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka (11).

Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Chacha Nyambuche amekiri mtuhumiwa kukamatwa Januari 23, 2021 usiku baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema na kumkuta nyumbani kwake amelala chini pamoja na mtoto huyo wote wakiwa hawajavaa nguo.

Mmoja wa majirani amesema mtoto huyo ameingiliwa kwa muda mrefu na baada ya kujiridhisha waliamua kutoa taarifa kwa kiongozi wa kitongoji na polisi walipofika waliwapa ushirikiano.

“Huyo mtoto hajaanza shule mpaka sasa, mama yao aliachana na baba yao baada ya kubaini anamuingilia mtoto wake mkubwa. Aliondoka na watoto wadogo kwenda Simiyu, hata hivyo, alifariki dunia ndipo mtuhumiwa akafuata watoto na kuja kuishi nao,” amesema jirani huyo kwa sharti la kutotajwa jina.

Dumia kwisha mbaya 58-11=47
 
Mmh..wanaume mnapoelekea sipo kabisa.
 
Back
Top Bottom