Serengeti: Baba afumwa akishiriki ngono na Binti yake wa miaka 11

Asante sana. Vijana wengi wa Tanzania ndivyo walivyo watupu vichwani. Watu wa aina uwezekano wa wao kufanya huo uharamia ni mkubwa sana. Unajua unaweza kupima mtu anavyolichukulia suala fulani kwa kuangalia reaction yake kama huyu idiot alivyofanya kebehi.
 
Alafu Nguruwe Mama wapate mimba wazae vitu vya ajabu?, labda yeye hapo zizini awe tu kama Mama Nguruwe.
 
Nguruwe Sasa kosa lake Ni lipi mpaka awekwe pamoja na mpumbavu huyu?
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya huo ufirauni,
Mzee atakua na tatizo kichwani au ni issue za imani zakipumbavu.
 
Huyu ndio siku ya mwisho atahukumiwa sawa na mnywa pombe! Hapana hapana.
 
laanatullah..! hvi kwa nini pasiwe na askari wenye ujuzi wa kuwaingilia hawa wabakaji? nashauri serikali ingepitisha unamuingilia mtoto na ww unaingiliwa kwa siku mara tatu kwa muda wa miaka sita pumbav. 😡
 
Ushirikina on the truck, duuuh hatareeeh saana.
 
Kuku kula mayai aliyoatamia mweyewe

Daah dunia iko kasi ya 8G
 
....Huwa Siku Zote katika habari hizi huumizwa zaidi na Maumivu ya Mtoto husika.
Hivi inawezekanaje Mdushelele wa Mzee wa miaka 50 kusokomezwa kwenye Kijaluba cha Malaika wa Miaka 11???....

Adhabu ya hill jinga ni kupelekwa kwenye jela inahojulikana kuwa na Mabingwa wa kufukua Kinyesi wakamfukue huyoo jinga aone maumivu aliyomtesa nayo Binti yake! Jinga kabisa ![emoji35]
 
Hawa wanaume wapumbavu wataisha lini mbona wanatupa stress.
 
laanatullah..! hvi kwa nini pasiwe na askari wenye ujuzi wa kuwaingilia hawa wabakaji? nashauri serikali ingepitisha unamuingilia mtoto na ww unaingiliwa kwa siku mara tatu kwa muda wa miaka sita pumbav. 😡

What if kuingilia na kuingiliwa ndio starehe yake?

Huyu hafai kuwa in contact na binaadam wala mnyama wala mdudu wa aina yoyote! He deserves to be isolated kabisa! Chumba cha kiza, hakuna dirisha wala upenyo wala sauti! Yaani hata mbu wasimguse! Just him and his thoughts until he perishes!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…