macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Siyo wanaume wote wako hivi. Labda inawezekana wewe umekulia kwenye mazingira yenye wanaume wasioaminika (pole kama ni hivyo) lakini wazazi wengi hawawezi kufanya uharamia kama huu.Makubwa, wanaume mna tamaa
Asante sana. Vijana wengi wa Tanzania ndivyo walivyo watupu vichwani. Watu wa aina uwezekano wa wao kufanya huo uharamia ni mkubwa sana. Unajua unaweza kupima mtu anavyolichukulia suala fulani kwa kuangalia reaction yake kama huyu idiot alivyofanya kebehi.Watu kama hao si ndio mnawaitaga "baharia" sijui!
Maana umeandika kwa kumtukuza huyo firauni kana kwamba amefanya jambo la kishujaa sana!
Eti "dingi anakula".... ? ni sifa hiyo?
Wewe ni mjinga sana eti! Sijui kama unajua hilo?
I can smell your stupidity from miles away! I can see it between the lines!
Sijui mmekuzwa na kulelewa kwenye mazingira gani ya kutetea walawiti na wanajisi!? inatafakarisha!!
Alafu Nguruwe Mama wapate mimba wazae vitu vya ajabu?, labda yeye hapo zizini awe tu kama Mama Nguruwe.Huyu anatakiwa afugwe zizini na nguruwe. Akae banda moja na nguruwe mpaka kifo chake. Awekewe sehemu yake ya kula ila iwe chini kama nguruwe ili kumfanya ajione bado ana hadhi sababu anafanana na binadamu. Manguruwe yakiwa kwenye heat apewe kama atajisikia ayapande akisusa wapewe nguruwe wengine.
Au hata ugonjwa wa akili.Unaweza kuta mambo ya kishirikina mganga kamwambia afanye hiyo mambo ya mwendee poa.
Nguruwe Sasa kosa lake Ni lipi mpaka awekwe pamoja na mpumbavu huyu?Huyu anatakiwa afugwe zizini na nguruwe. Akae banda moja na nguruwe mpaka kifo chake. Awekewe sehemu yake ya kula ila iwe chini kama nguruwe ili kumfanya ajione bado ana hadhi sababu anafanana na binadamu. Manguruwe yakiwa kwenye heat apewe kama atajisikia ayapande akisusa wapewe nguruwe wengine.
Wa mkoani haooooMakubwa, wanaume mna tamaa
Shetani hatendi dhambi anatimiza tu wajibu wake. Huyu dingi ana DNA za shetani LuciferDaah eti dhambi ni dhambi, hakuna kubwa wala ndogo!😡
Everyday is Saturday................................😎
laanatullah..! hvi kwa nini pasiwe na askari wenye ujuzi wa kuwaingilia hawa wabakaji? nashauri serikali ingepitisha unamuingilia mtoto na ww unaingiliwa kwa siku mara tatu kwa muda wa miaka sita pumbav. 😡Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka (11).
Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Chacha Nyambuche amekiri mtuhumiwa kukamatwa Januari 23, 2021 usiku baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema na kumkuta nyumbani kwake amelala chini pamoja na mtoto huyo wote wakiwa hawajavaa nguo.
Mmoja wa majirani amesema mtoto huyo ameingiliwa kwa muda mrefu na baada ya kujiridhisha waliamua kutoa taarifa kwa kiongozi wa kitongoji na polisi walipofika waliwapa ushirikiano.
“Huyo mtoto hajaanza shule mpaka sasa, mama yao aliachana na baba yao baada ya kubaini anamuingilia mtoto wake mkubwa. Aliondoka na watoto wadogo kwenda Simiyu, hata hivyo, alifariki dunia ndipo mtuhumiwa akafuata watoto na kuja kuishi nao,” amesema jirani huyo kwa sharti la kutotajwa jina.
....Huwa Siku Zote katika habari hizi huumizwa zaidi na Maumivu ya Mtoto husika.Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chamoto, Ikwabe Gibogo (58) kwa tuhuma za kumwingilia kimwili mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka (11).
Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Chacha Nyambuche amekiri mtuhumiwa kukamatwa Januari 23, 2021 usiku baada ya polisi kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema na kumkuta nyumbani kwake amelala chini pamoja na mtoto huyo wote wakiwa hawajavaa nguo.
Mmoja wa majirani amesema mtoto huyo ameingiliwa kwa muda mrefu na baada ya kujiridhisha waliamua kutoa taarifa kwa kiongozi wa kitongoji na polisi walipofika waliwapa ushirikiano.
“Huyo mtoto hajaanza shule mpaka sasa, mama yao aliachana na baba yao baada ya kubaini anamuingilia mtoto wake mkubwa. Aliondoka na watoto wadogo kwenda Simiyu, hata hivyo, alifariki dunia ndipo mtuhumiwa akafuata watoto na kuja kuishi nao,” amesema jirani huyo kwa sharti la kutotajwa jina.
Wanawake tulivyojaa tena bwerereeeeeee Jamani!! !
laanatullah..! hvi kwa nini pasiwe na askari wenye ujuzi wa kuwaingilia hawa wabakaji? nashauri serikali ingepitisha unamuingilia mtoto na ww unaingiliwa kwa siku mara tatu kwa muda wa miaka sita pumbav. 😡