Serengeti Boy afunguka jinsi Shilole alivyomtongoza na kumtumia kisha kumtosa

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Shilole amekuwa na tabia ya kutoka na viserengeti Boy na kila anayekutana naye anampost mtandaoni wakiwa mapozi tata au wakifanya utata utata,
Mmoja wa serengeti boy anadai shilole alimkomaia kumtongoza sanaa akakosa uhuru kwa kuwa alikuwa dansa wake ikibidi amkubali, lakini aliishia kupata maumivu kwani alitoswa katikati
Shilole alipohojiwa anadai hajamtongoza ila kijana huyo anajifariji
 
Hilo nalo jinga kabisa linatafuta Kiki...mwanume kukosa kifua ni sawa na kuwa na kansa.
Pamoja na madhaifu ya Shilole huwa anaishi maisha ya uhalisia sana na nina mkubali sana na bila shaka hakumtongoza..
 
Members wa UVCCM hao...... Like fathers like children, and ur still asking why this country z poor......???
 
Hilo nalo jinga kabisa linatafuta Kiki...mwanume kukosa kifua ni sawa na kuwa na kansa.
Pamoja na madhaifu ya Shilole huwa anaishi maisha ya uhalisia sana na nina mkubali sana na bila shaka hakumtongoza..
Na ni kati ya hazina zetu adimu kabisa za chama chetu pendwa.
 
Sasa hapo tofauti yake na Shilole ni ipi?!
 
walipotongozana walikua kimya sahiv ya nn kushirikisha muhadhara [HASHTAG]#watoe[/HASHTAG] ujinga hapa
 
mwanaume mzima unalalamika hicho...we humjuui shilole au....kama mlikanyagana si imeisha au ulitaka mkae na mkafunge ndoa.....we minya hata kama alikutongoza we jiongeze ulitaka awe mkeo kweli .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…